Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,490
- 156,120
Mkoa gani?Anamiliki grocery jirani na ofisi za marangu coach
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkoa gani?Anamiliki grocery jirani na ofisi za marangu coach
Acha tu. Sometimes mpaka anatia huruma, lakini malipo hapa hapa duniani. Ameumiza sana watu yuleJamaa anatembelea wheelchair na bado anarisasi mwilini,alikuaga mtu wa mbususu sasahivi anakula kwa macho
Li j4 la hovyo sana hata mwonekano wake.Picha yake na ya j4, ili tukikutana naye tumsalimie
Naona yupo ziwa Duluti, Tengeru
Marangu wana ofisi 2 Arusha.Arusha?
Mkuu Unamaanisha ..Plan Z ze noah...opposite mkaoMarangu wana ofisi 2 Arusha.
1. NHC dar express
2. Makao mapya
Mkuu akituma nitag..
Mkuu ni swali nami nataka kujuaMkuu Unamaanisha ..Plan Z ze noah...opposite mkao
😀😀😀 Noah = Tara Care.Mkuu Unamaanisha ..Plan Z ze noah...opposite mkao
Bro funguka kidogo halafu uni tag
Tusitishane wewe sio kila falanikufungukie nini ! .jiingize kumi nane zao uje usimulie hapa
Ni kiboko ya magaidiTaga mbona umepaniki
Mkuu umegonga utosini 100%. Ugonjwa wetu mkuu ni "ukondoo wa nyerere" na hao majamaa ndio wanautumia kutufanyia ndivyo sivyo na kutuahidi kipigo cha mbwa.Apotezwe tu.
Mshukuruni Nyerere kwa kutupumbaza tumekuwa mazoba.
Nchi zingine huyo goodluck eshapotezwa
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
Noted...😃😃😀😀😀 Noah = Tara Care.
Kile ni Grocery ama kakiduka
Ni jambo jema MHALIFU akipewa FUNDISHO lenye kuacha alama maishani kwake.Jamaa anatembelea wheelchair na bado anarisasi mwilini,alikuaga mtu wa mbususu sasahivi anakula kwa macho
wewe ni muongo sana acha ushabiki maandazi hapa umeambiwa waliamua kupambana na hao Polisi??isitoshe umevamiwa na polisi wenye Defender na bunduki uamue kupambana nao kwa mikono si wanakushoot hapo hapo wala usijidanganye hiyo CCP yao na 92 KJ ni mbingu na ardhi.Police Wana mafunzo sana pale CCP assume komandoo analia mama niache
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app