Good news!!!!!!!!

health

JF-Expert Member
Aug 21, 2012
325
38
Zimekuwa zikitumika njia nyingi sana nzito za kupunguza unene, uzito ambapo watu wengi huona ni shida sana. Furahia hii njia nzuri kwa afya yako.

MAGILIM

Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14

Ukiwa unahitaji hiyo bidhaa usipate shida unaweza kuwasiliana na mimi kwa namba 0776491294 pia unaweza kuniandikia barua pepe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama yake ni Tsh 62500/- tu


 

Attachments

  • fat1.jpg
    fat1.jpg
    33.3 KB · Views: 83
  • fat2.jpg
    fat2.jpg
    25.8 KB · Views: 80
  • fat3.jpg
    fat3.jpg
    22.4 KB · Views: 79
  • fat4.jpg
    fat4.jpg
    28.4 KB · Views: 73
  • fat5.jpg
    fat5.jpg
    8.4 KB · Views: 81
  • MAGILIM.jpg
    MAGILIM.jpg
    146.2 KB · Views: 92
Reach yake ilifanyika wapi na lini? Mafanikio yake yalikuwaje?
Ukikusanya 62500 kwa watu 1000 na ikawa ni uwongo si utapeli mzuri huo
 
Zimekuwa zikitumika njia nyingi sana nzito za kupunguza unene, uzito ambapo watu wengi huona ni shida sana. Furahia hii njia nzuri kwa afya yako.

MAGILIM

Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14

Ukiwa unahitaji hiyo bidhaa usipate shida unaweza kuwasiliana na mimi kwa namba 0776491294 pia unaweza kuniandikia barua pepe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama yake ni Tsh 62500/- tu



Maelezo mazuri kibiashara ila kwa sababu mwili wa binadamu unajitegemea katika utendaji wake LAZIMA, lazima......hii dawa ina mdhara mwilini je unaweza kutoa madhara pia ili mtumiaji awe na uchaguzi mzuri???????
 
Maelezo mazuri kibiashara ila kwa sababu mwili wa binadamu unajitegemea katika utendaji wake LAZIMA, lazima......hii dawa ina mdhara mwilini je unaweza kutoa madhara pia ili mtumiaji awe na uchaguzi mzuri???????
Hizi siyo dawa kama mtu anavyokwenda kununua maduka ya Pharmacy. Hizi ni product zitokanazo na mimea na zimeandaliwa kiasilia. Hazina madhara
 
KIkopo chenye we picha yake imechakachuliwa maandishi umeweka product nyingine na kuipa jina tofauti
Zimekuwa zikitumika njia nyingi sana nzito za kupunguza unene, uzito ambapo watu wengi huona ni shida sana. Furahia hii njia nzuri kwa afya yako.

MAGILIM

Inatokana na majina ya Magic-Slim, jina hili likabadilishwa na kuitwa Magilim.
Imetengenezwa kwa mimea kadhaa, mimea hiyo ni;

  • Seamen cassie
  • Cassia bark
  • Mullberry leaver
  • Fago fyrum tataricum
Ikiingia katika utumbo mdogo huyeyuka kuwa ute ute na gel husaidia kugandisha mafuta uliyokula ili yasitumike mwilini, na kufanya mwili kutumia mafuta yaliyoko wilini tu, hivyo kusaidia kupunguza mwili na uzito.
Ikiingia kwenye utumbo mkubwa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na chumvi chumvi zake.
Ini huwa inavunjavunja mafuta na kutengeneza;

  • Maji ya nyongo
  • Nguvu ya mwili(glucose)
  • Uric acid
Magilim ukiinywa inasaidia kugandisha maji ya nyongo na mafuta, pia husaidia kwenda kwenye damu kutoa sukari na uchafu kupitia kwenye figo.
Matokeo yake mwili hukosa nguvu kwa kutoa sukari na mafuta, kugandishwa pamoja na maji ya nyongo kwenye utumbo mkubwa na mdogo.
Kufanya mwili kulazimika kutafuta nguvu kwenye hifadhi zake, sehemu zenye mafuta mfano kitambi, ****** na mikononi wanawake. Wanaopunguza unene na uzito hivyo mwili unatengeneza kemikali inayosaidia kutoa mafuta kwenye mwili na yanasafirishwa na damu kupelekwa kwenye ini pale ambapo ini huvunjavunja yale mafuta na kutengeneza vitu vitatu; maji ya nyongo, nguvu ya mwili ana uric acid. Wakati huo maji maji ya nyongo yanazidi kugandishwa na mafuta kwenye utumbo mkubwa na mdogo.

  1. Uric acid na sukari inatoka kupitia figo kwenye mkojo na kufanya mwili unazidi kutoa mafuta kwenye hifadhi zake mwilini na kufanya mtu azidi kupungua(kukonda).
Magilim inasaidia kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu na kuzuia mwili kunyonya vyakula vya wanga kwenye utumbo mdogo na kutoa sukari kwenye damu kupitia figo, huleta faida kwa wagonjwa wa kisukari na wale wanaotaka kujizuia kupata matatizo ya sukari.
Magilim ikiwa kwenye ute ute(gel) kwenye utumbo inasaidia kusafisha utumbo mkubwa na mdogo na kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula.

KAZI YA MAGILIM

  • Kupunguza uzito na unene
  • Kusawazisha kiwango cha sukari kwenye damu
  • Kusafisha mfumo wote wa kusagia chakula
  • Inapunguza uwezo wa mwili kunyonya lishe
  • Kutoa sumu mwilini
  • Kutoa chunusi mwilini
  • Kutibu matatizo ya tumbo

WASIOPASWA KUTUMIA


  • Wajawazito
  • Wanaonyonyesha
  • Wagonjwa waliodhoofika sana mfano ukimwi, saratani, kifua kikuu, malaria, kisukari n.k
  • Watoto chini ya miaka 14

Ukiwa unahitaji hiyo bidhaa usipate shida unaweza kuwasiliana na mimi kwa namba 0776491294 pia unaweza kuniandikia barua pepe kupitia ishealthy@hotmail.com
Gharama yake ni Tsh 62500/- tu


 
KIkopo chenye we picha yake imechakachuliwa maandishi umeweka product nyingine na kuipa jina tofauti
Ha! ha! ha! Shaka ondoa Chipukizi. Wewe ukiwa unahitaji tuwasiliane tu ndiyo utaweza kuona kama kikopo kimechakachuliwa au laa
 
Dawa pekee ya mtu kupunguza unene ni Mazoezi pamoja na discipline ya Msosi. Mengine ni mbwembwe tu!
Nimeipenda hii! Mazoezi wapo wengi hata ukimwambia atembee kilometa moja anakuambia hawezi na hataki kujichosha. Huyu mtu unene utapungua? Hii ni product nzuri yenye kukufanya wewe uwe unakula kama kawaida na uwe unapunguza mwili bila kutoka jasho. Hv unafahamu kuwa wapo watu wanaopata tabu sana kupunguza unene na wanaojaribu kufanya hivyo wanakazana hadi kupungua wanaonekana kama wazee?
 
Reach yake ilifanyika wapi na lini? Mafanikio yake yalikuwaje?
Ukikusanya 62500 kwa watu 1000 na ikawa ni uwongo si utapeli mzuri huo
Research zimefanyika miaka 4000 sasa China na kwa sasa product zote za afya zinahamasishwa kiserikali kutumika kwa ajili ya afya ya watu zaidi ya bilioni 1.3 nchini. Imefanyiwa utafiti kwa muda wote huo na kuweza kukubalika kutumika kwa kuwa hazina madhara na zinaondoa tatizo kabisa
 
Nimeipenda hii! Mazoezi wapo wengi hata ukimwambia atembee kilometa moja anakuambia hawezi na hataki kujichosha. Huyu mtu unene utapungua? Hii ni product nzuri yenye kukufanya wewe uwe unakula kama kawaida na uwe unapunguza mwili bila kutoka jasho. Hv unafahamu kuwa wapo watu wanaopata tabu sana kupunguza unene na wanaojaribu kufanya hivyo wanakazana hadi kupungua wanaonekana kama wazee?

Tatizo linakuja pale mtu unene aliou-accumulate kwa miaka anapotaka uondoke kwa wiki mbili,, ikishindikana basi anakata tamaa. Mazoezi yanatakiwa yawe sehemu ya maisha ya Mwandamu yeyote. Kama ulivyoainisha hata kutembea ni zoezi pia.
 
Tatizo linakuja pale mtu unene aliou-accumulate kwa miaka anapotaka uondoke kwa wiki mbili,, ikishindikana basi anakata tamaa. Mazoezi yanatakiwa yawe sehemu ya maisha ya Mwandamu yeyote. Kama ulivyoainisha hata kutembea ni zoezi pia.
Ndiyo watu wengi ni wavivu pia wapo wasiozingatia utaratibu wa lishe na kutokana na hilo wanakuwa wakiruhusu mambo hayo kutokea na watu wenye nia njema kama mimi sitaki hawa watu waendelee kupata matatizo mengi yanayosababishwa na unene. Ndiyo ninapenda kuwasaidia kwa utaratibu huu.
 
Tatizo Bei ni kubwa sana jitahidi kupunguza....Hyo product umetengeza wewe? Je unayo na dawa ya kuondoa sumu mwilini?
 
Ndiyo watu wengi ni wavivu pia wapo wasiozingatia utaratibu wa lishe na kutokana na hilo wanakuwa wakiruhusu mambo hayo kutokea na watu wenye nia njema kama mimi sitaki hawa watu waendelee kupata matatizo mengi yanayosababishwa na unene. Ndiyo ninapenda kuwasaidia kwa utaratibu huu.

"The doctor of the future will prescribe no drugs but will interest his patients in the care and nutrition of the human frame and in the cause and prevention of disease." - *Thomas Edison (1847-1931)*
 
Dawa pekee ya mtu kupunguza unene ni Mazoezi pamoja na discipline ya Msosi. Mengine ni mbwembwe tu!

Nime underline hiyo kwa kuwa hiyo ndio inahusika zaidi, kwani mazoezi yanafanya mwili uwe vizuri tu na kama unakula hovyo hovyo bado utakuwa mnene.

Ila kama unajua nini chakula na kutokula utapungua. Nimepungua 4 ndani ya mwezi mmoja, nataka nipungue tena kama kilo 4 zingine halafu nianze kula chakula ninachoweza kuunguza calories zake kwa siku.
 
Tatizo Bei ni kubwa sana jitahidi kupunguza....Hyo product umetengeza wewe? Je unayo na dawa ya kuondoa sumu mwilini?

Bei siyo kubwa King Kong. Ina bei ambayo inasaidia kuendelea kutafuta material kama kikopo na vinginevyo kwa ajili ya kuhifadhia hiyo bidhaa. Mimi sina dawa ya kupunguza sumu mwilini ila ninayo product iliyoandaliwa kiasilia inayoondoa sumu mwilini
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom