Atomic orbital
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 369
- 473
Sheria za nchi kaka lazima uwe na kisomo cha kuelewekaWavimba macho wengi sana,dogo ana pesa ndeefu.
Katoa ajira kibao,siku atakapo tia nia kugombea uraisi wa JMT,utahama nchi kwa aibu
Sheria za nchi kaka lazima uwe na kisomo cha kuelewekaWavimba macho wengi sana,dogo ana pesa ndeefu.
Katoa ajira kibao,siku atakapo tia nia kugombea uraisi wa JMT,utahama nchi kwa aibu
Majizzo ana ngapi EFM?Non Sense!!!!!!! TCRA si wameweka wazi wamiliki na hisa za wasafi? Mbona unajitoa ufahamu? Mnaona JF wamejaa maburula kama nyinyi? Huyo msaniii wenu kupata vijishare vya wasafi mikelele mwaka mzima,je angekuwa na 100% share si tusingelala? Ebu mwambie awagugo kina Dre , Diddy ,Birdman walivyo na ma investment ya hatari halafu hawana YOWE hata kidogo!! Huyo msanii wenu ana utajiri wa kibongo tu.
Tajiri namba 1 kwa wanamziki sio wafanyabiashara na wanasiasaafadhali umekubali kuwa kwa bongo ndo tajili namba moja
Harmonize alikuwa anadaiwa 500mil akauza nyumba zake 3 lkn bado hazikutosha kulipa deni ebu imagine yani mpk mtu unaanza kuuza asset manake umeshikwa pabaya bank hakuna kitu lkn ukiingia youtube utaambiwa harmonize ana utajiri wa 5 bilion + halafu unashindwa kulipa 500mil mpk unauza assetwewe ndo boya kabisa, wakati ana utajiri wa $10 million ndo ashindwe $1 million
hao ni hatersKazi kweli kweli, kwanza walidai pale wasafi mbezi b kwake, baadaye wakadai amekodi kwa miaka kadhaa, sasa yaja hii ya tower?! Ni shida..
Sijajua Francis Siza ana ngapi Efm ila sio 100% walishawahi pia kutoa TCRA.Majizzo ana ngapi EFM?
wewe ni mpuuzi na mpumbavu mkubwaUnapotuambia stori za tower kukamilika kwa 95% alafu hutuwekie hata kapicha na upuuzi tu.
Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
sawa but hiyo ni mzeeMkuu hajulikani? Huyo jamaa ni maarufu sana ni moja kati ya wanamziki wenye hesima Afrika sema mziki wake si wa kizazi chetu cha akina dimaond na davido. Halafu ni albino. Utajiri wake unakadiliwa kuwa wa kiasi cha dollar milion 47, hiyo ni zaidi ya bilioni 90 za Kibongo.
Mimi mwenyewe miziki yake siielewagi naonaga kama anapiga mayowe nadhani kutokana na lugha anayotumia ila ni kati ya wasanii wakubwa toka Afrika na wanaoheshimika sana mpaka kwa wazungu.
mbona anayo mda mrefu, na pia ndo aliingia nayo Simba day MKAPA stadiumNdege Binafsi aliyonunua mwaka 2014 bado haijafika?
Heshima nyingi sana kwako legendarySijajua Francis Siza ana ngapi Efm ila sio 100% walishawahi pia kutoa TCRA.
Yani kabisa unamfananisha Mond na kina Dre?Non Sense!!!!!!! TCRA si wameweka wazi wamiliki na hisa za wasafi? Mbona unajitoa ufahamu? Mnaona JF wamejaa maburula kama nyinyi? Huyo msaniii wenu kupata vijishare vya wasafi mikelele mwaka mzima,je angekuwa na 100% share si tusingelala? Ebu mwambie awagugo kina Dre , Diddy ,Birdman walivyo na ma investment ya hatari halafu hawana YOWE hata kidogo!! Huyo msanii wenu ana utajiri wa kibongo tu.
sio towes ni tower pumbavuKibanda umiza ndo ndo mnaita towes
,,,
kwa wote unajua anashika namba ngapi?Tajiri namba 1 kwa wanamziki sio wafanyabiashara na wanasiasa
sijasema harmonize nimesema diamond platinumz sawa baba laoHarmonize alikuwa anadaiwa 500mil akauza nyumba zake 3 lkn bado hazikutosha kulipa deni ebu imagine yani mpk mtu unaanza kuuza asset manake umeshikwa pabaya bank hakuna kitu lkn ukiingia youtube utaambiwa harmonize ana utajiri wa 5 bilion + halafu unashindwa kulipa 500mil mpk unauza asset
Hyo Mimi nimetoa mfano kuonyesha ni kwa jinsi gani wasanii wana jibrand halafu unakuta wana maisha ya kawaida sanasijasema harmonize nimesema diamond platinumz sawa baba lao
Imekamilika 95% kwenye makaratasiNimetafuta picha kwangu naona haifunguki