Gonjwa tata.

manuu

JF-Expert Member
Apr 23, 2009
4,064
10,723
Wajameni naomba ushauri wenu wa kitaalam,kama wiki 2 zilizopita nilifanya mapenzi na msichana mmoja bila kutumia kinga sababu nilikuwa namwamin na ni msichana wangu wa siku nyingi ila baada ya siku kama 2 kupita nikaanza kuuisi muwasho chini ya uume kwa ndani ya mrija, sa naona hali ianzidi badilika badala ya mwasho nahisi maumivu chini ya uume haswa sehemu ya kichwan.
Ni mara ya kwanza mi kupata tatizo kama hili, wataalam msaada wenu wa haraka unahitajika ,
1.itakuwa ni ugonjwa gani?
2.na tiba yake ni ipi?
3.na kama yule msichana nae anao mbona ye yupo normal yaan hata ahisi muwasho?
4.na huo ugonjwa unaambukizwaje hasa kwa wanawake? Ili nijue maana huyu binti hakuwai kuniambukiza wakati wote nilipokuwa nae.
 
pole sana,nakushauri ukamuone daktari coz magonjwa mengine ni rahisi wanaume kugundua miilini kwao kuliko wanawake japo watakuwa wanaweza wakawa wameambukizana.......wahi hospital fasta ndugu yangu....inaweza kuwa kimeo hicho......na usimwache mwenzio....ni muhimu muende pamoja
 
probably yaweza kuwa ni STI [Sexually transmitted infections) k.v syphylis, gonorrhea. Hata hivyo upo ktk kupim mkojo na damu. La muhimu pia upate kumuona daktari ili aweze kupata details zaidi. Tafadhali mpeleke na mwenzak6
 
Wajameni naomba ushauri wenu wa kitaalam,kama wiki 2 zilizopita nilifanya mapenzi na msichana mmoja bila kutumia kinga sababu nilikuwa namwamin na ni msichana wangu wa siku nyingi ila baada ya siku kama 2 kupita nikaanza kuuisi muwasho chini ya uume kwa ndani ya mrija, sa naona hali ianzidi badilika badala ya mwasho nahisi maumivu chini ya uume haswa sehemu ya kichwan.
Ni mara ya kwanza mi kupata tatizo kama hili, wataalam msaada wenu wa haraka unahitajika ,
1.itakuwa ni ugonjwa gani?
2.na tiba yake ni ipi?
3.na kama yule msichana nae anao mbona ye yupo normal yaan hata ahisi muwasho?
4.na huo ugonjwa unaambukizwaje hasa kwa wanawake? Ili nijue maana huyu binti hakuwai kuniambukiza wakati wote nilipokuwa nae.
Pole sana mkuu, nenda kafanye vipimo kwenye hospitali yenye uhakika iliyo karibu nawe, tafadhari usianze kutumia dawa bila kufanya vipimo, pima kwanza then utapewa tiba kwa mujibu wa tatizo lako. Jitahidi uwahi coz jinsi unavyozidi kukaa nalo ndivyo linavyozidi kukua.
 
Manuu, pole kwa tatizo.

Kwanza, mchukue mwezio mkafanyiwe vipimo vya afya yenu.

Pili, ukome kufanya ngono zembe, kelele zote zinazopigwa na vyombo vya habari, magazeti bado huelewi kitu.
 
hiyo ni gono, it takes about 6-12 hrs kwa mwanaume kusikia effects yake, mwanamke inachukua hata miezi mitatu na kuendelea.

nawe uwe mwangalifu, kinga ni muhimu, hata kama unadai ni wako. sasa hiyo gono kaitoa wapi? baada ya miezi mitatu test kila kitu, maana kama huyo binti ana STI na wewe inaonekana hujawahi kuwa na STI maana yake ni kuwa ameitoa kwa mtu mwingine. Na kama jamaa aliyemwambikiza ana ngoma????.........................>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!???????????????????
 
hiyo ni gono, it takes about 6-12 hrs kwa mwanaume kusikia effects yake, mwanamke inachukua hata miezi mitatu na kuendelea.

nawe uwe mwangalifu, kinga ni muhimu, hata kama unadai ni wako. sasa hiyo gono kaitoa wapi? baada ya miezi mitatu test kila kitu, maana kama huyo binti ana STI na wewe inaonekana hujawahi kuwa na STI maana yake ni kuwa ameitoa kwa mtu mwingine. Na kama jamaa aliyemwambikiza ana ngoma????.........................>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!???????????????????

Basi inawezekana hiyo ngoma nayo ikapigwa kwake, kaaazi kwelikweli!
 
Basi inawezekana hiyo ngoma nayo ikapigwa kwake, kaaazi kwelikweli!

Ni mtandao wa kutisha, it is shame kuenenda katika ngono zembe na mtu asiye mkeo since as they say in Africa sex just happens - not planned.
 
Back
Top Bottom