Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Pengine nilkuwa nafikiri utan nikiwa naenda kauoga bibie akaniita njoo nikasikia kwenye redio kipindi cha magazeti kwamba kuna gonjwa limezuka linaambukizwa' kwa kunyonyana ndimi na mwisho wake linakumaliza nguvu unabadilika rangi unakwenda
Wakiongea kwa masikitiko waziri wa afya amesema ni kweli gonjwa hilo limeenea dar na watu wanakufa
kwa upungufu wa kinga mwilini na wanaishia kubadilika rangi ..gonjwa hilo huambikizwa kwa ngono ama
kunyonyana ndimi na aina dawa waala chanjo alisema mh waziri
Mungu atusaidie kwa kweli kwa nini tusimrudie mungu wapendwa??
Wakiongea kwa masikitiko waziri wa afya amesema ni kweli gonjwa hilo limeenea dar na watu wanakufa
kwa upungufu wa kinga mwilini na wanaishia kubadilika rangi ..gonjwa hilo huambikizwa kwa ngono ama
kunyonyana ndimi na aina dawa waala chanjo alisema mh waziri
Mungu atusaidie kwa kweli kwa nini tusimrudie mungu wapendwa??