si hatari hiyo,
gongo ni mbaya sana jamani,yaani unakuta mtu kavimba tumbo na miguu na mashavu hapo figo zishafail.
kweli ibilisi anajua kuwatesa watu wa Mungu,halafu sasa wakinywa wanakunja sura halafu ikipita kooni unasikia jinsi anavyogugumia kwa maumivu.
Hivi mtu anakunywa ili alewe au aenjoy coz sielewei kinachosababisha mtu ateseke hivi.
Cheusi hivyo ndio vionjo vya gongo ni katika kuonyesha msisitizo tu. Huwezi kunywa gongo wakati una "smile" banah. Mimi sishangai kwani pilipili utamu wake ni nini? Ninavyojua pilipili ikiwasha sana dio imekolea vizuri.