Kiroho zaidi! Kabla sijakupa zawadi yako ya fanta yenye gongo tutafanya sala na kuombea amani
Wee acha tu kondoo wanaweza kukutega ..... mawazo yako vizuri tu
Wanapiga vimini na hawavai kale kadogo!
Wanapiga vimini na hawavai kale kadogo!
Wakivaa hako kadogo inakuwa haina umuhimu wa kuvaa vimini na kukaa viti vya mbela kukuconfuse baba mchungaji
Inakutoka moyoni ama shinikizo la Mlinzi wako hahahahahahaahhhh
Bwana wa majeshi ni mwema! Huyo ni roho wa Mungu wala usijali. Itabidi tujadili namna ya kukufikishia ile kitu yako
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika gongo la miwa AMA sukari guru ! Pwani wao gongo Lao la mananasi. Nimejaribu zote ila gongo la Mwanza nililipenda sana kule kwenye vilima vya Bugando!
Jamani gongo ipi nzuri! Kigoma, Mwanza na Shinyanga wanatengeneza za mihogo! Kagera wao wanatengeneza za Ndizi. Wale wa mkoa wa Mara wanatengeneza gongo la mapapai na mavi! Morogoro wao wanapika gongo la miwa AMA sukari guru ! Pwani wao gongo Lao la mananasi. Nimejaribu zote ila gongo la Mwanza nililipenda sana kule kwenye vilima vya Bugando!
Jaribu na wewe hakika huhitaji kwenda GYM kujiweka fit! Gongo is a good therapy nakumbia
Faida nyingine za Chang'aa ni kama zifuatavyo:-
- Kuongeza nguvu za kiume
- Kuondoa homa na mafua ya rejareja
- Kutibu malaria ambayo haijawa sugu
- Kupunguza nguvu za virusi vya ukimwi
- Kufukuza majini
- Kuondoa ndoto mbaya usiku
- Kuongeza confidence ya mnywaji - ni nzuri sana kama unaenda kwenye interview au kwenye mtihani ila usizidishe kipimo.
- Etc.
Ikihalalishwa itapungua umaarufu! Halafu si vijijini hata kwenye miji mikuu Gongo ipo, Dar mitambo iko boko, Kunduchi na Mbagala