Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 67,977
- 95,297
Isiwepo kwa nini? wakati dogo amekiri kuwa ashapitia wanawake wote hapo kijijini (including the wife wa jamaa- sasa nako sijui alikuwa anakwenda kwa mlango wa uwani au) duh
Hujatulia mj1! Amesema amewaingilia kimwili wanawake wote ALIOWAPENDA. Labda mke wa huyu mjamaa hakupendwa ndio maana akaamua am-express mme wake. Akija Dar, Fidel80 and co. watakimbia mji.