Red Giant
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 15,658
- 20,887
1 Samweli 17: 4-7 inaelezea wasifu wa Goliath.
Alikuwa na urefu wa mikono 6 na shubiri moja. Mkono mmoja ni sawa na 44.5cm na shubiri moja ni sawa na 22.2cm. Kwa hiyo jumla alikuwa na 289.2cm. Huo ni sawa sawa na 2.9m au futi futi 9 na nchi sita.
Vazi lake la chuma lilikuwa na uzito wa shekeli elfu tano. Shekeli moja ni sawa na gramu 11.4. Hivyo lilikuwa na gramu 57,000 ambazo ni sawa na kilo 57.
Kichwa cha mkuki kilikuwa shekeli 600 sawa na kilo 6.8!
Alikuwa na urefu wa mikono 6 na shubiri moja. Mkono mmoja ni sawa na 44.5cm na shubiri moja ni sawa na 22.2cm. Kwa hiyo jumla alikuwa na 289.2cm. Huo ni sawa sawa na 2.9m au futi futi 9 na nchi sita.
Vazi lake la chuma lilikuwa na uzito wa shekeli elfu tano. Shekeli moja ni sawa na gramu 11.4. Hivyo lilikuwa na gramu 57,000 ambazo ni sawa na kilo 57.
Kichwa cha mkuki kilikuwa shekeli 600 sawa na kilo 6.8!