Goli lile la Nsajigwa lilifanya niache kushangilia Taifa stars 2009

britanicca

JF-Expert Member
May 20, 2015
15,636
30,004
Ilikuwa Tupate draw tu ya bila kufungana au tuwafunge cape verde mwaka 2009 kwa kufuzu AFCON 2010,

Ilikuwa dakika ya 86" nahodha Shedrack Nsajigwa Fuso, akafunga goli Tamu sana, tukashangilia nchi nzima enzi za Macio Maximo,

Nsajigwa alikuwa bado yuko nje anafunga uzi za viatu maana kwenye kushangilia kilichomoka goli likawa limerudi na stars kutupwa nje, maana sare ya moja kwa moja ilikuwa tunatupwa nje,

Tokea muda huo nili sema sitapoteza muda wangu,


Ninatamani hata hizo 50,000 zirudi zikanunue korosho
 
Wale beki ni wapumbavu Sana,wako wawili under no pressure whatsoever akawapa jamaa kona, then ikaja zamu ya goalkeeper, kama anajua hawezi kudaka mpira anatakiwa aupige mpira uende mbali,au autoe kabisa, yeye akadaka kama embe

Stars ni sikio la kufa ,hawana competitive spirit kabisa, hawaonekani kama ni watu wanataka kitu, .......hata sijui ni Kwa nn napoteza nguvu kuandika kuhusu stars
Hivi yule beki aliyetoa kona iliyozaa goli alikuwa anawaza nini maana hakukuwa na pressure yoyote au aliweka mzigo kwa Mhindi?
 
Upuuzi umeanzia benchi la ufundi hadi wachezaji hakuna aliyekuwa anajua umuhimu wa game hii
 
natamani kocha akatwe mahahara wake na wachezaji wakatwe posho zao hela itakayopatikana wapewe mashabiki wafanye nauli ya kurudia bongo wapunguze machungu ya fedheha waliyoipata
 
Wale beki ni wapumbavu Sana,wako wawili under no pressure whatsoever akawapa jamaa kona, then ikaja zamu ya goalkeeper, kama anajua hawezi kudaka mpira anatakiwa aupige mpira uende mbali,au autoe kabisa, yeye akadaka kama embe

Stars ni sikio la kufa ,hawana competitive spirit kabisa, hawaonekani kama ni watu wanataka kitu, .......hata sijui ni Kwa nn napoteza nguvu kuandika kuhusu stars
Yule beki hivi ni nani? yaani ametoa mpira bila hata wasiwasi tena katika situation nyepesi kabisa sasa kama kungekuwa na pressure si anaweza akajifunga yule
 
Ilikuwa Tupate draw tu ya bila kufungana au tuwafunge cape verde mwaka 2009 kwa kufuzu AFCON 2010,

Ilikuwa dakika ya 86" nahodha Shedrack Nsajigwa Fuso, akafunga goli Tamu sana, tukashangilia nchi nzima enzi za Macio Maximo,

Nsajigwa alikuwa bado yuko nje anafunga uzi za viatu maana kwenye kushangilia kilichomoka goli likawa limerudi na stars kutupwa nje, maana sare ya moja kwa moja ilikuwa tunatupwa nje,

Tokea muda huo nili sema sitapoteza muda wangu,


Ninatamani hata hizo 50,000 zirudi zikanunue korosho
Nakuaiga
 
Back
Top Bottom