Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
KICHUYA KAPEWA ZAWADI YA GARI
Simba saiz n magari tuICHUYA KAPEWA ZAWADI YA GARI
Ni mwamuzi mzuri lakini mahaba yamemtawalahuyu askari magereza mngemuach tu akalinde wafungwa
vipi naskia mnalilia viti vya uwanja wa taifa mnakitchen parti niniNaviona vizee vya matopeni vikizidi kufarijiana
hili goli ni mali ya watz wote, kichuya anawakilisha nchi!Naviona vizee vya matopeni vikizidi kufarijiana
Haaaaa aiseeegoli kama lile hutokea tena kila baada ya miaka 10 duniani kote.safari hii limepatikana TANZANIA
Hayana tofauti sana,yote yakutunguaHapa mguu wa Kichuya alifanya kitu kinaitwa Trigonometric Equation:
na jana tumeshangilia suluhu nyingine ilioletwa na KichuYearwazee wakushangilia suluhu ......
...........naomba ratiba ya club bingwa, Daima Mbelena jana tumeshangilia suluhu nyingine ilioletwa na KichuYear
Lipumba ama LIPULI??yanga kama LIPUMBA tu