Ladder 49
JF-Expert Member
- Dec 19, 2017
- 7,416
- 18,856
Wakuu habari zenu?
kumekukuwa na utaratibu kila week Baada ya michezo ya mechi za uefa kuwepo na goli bora
Week iliyopita tulishuhudia mechi za robo fainali.
Baada ya mechi hizo uefa wanetoa mshindi wa goli bora
Mo salah ameibuka kinara goli lake dhidi ya man city ndio goli bora.
Hizo chini hapo ni kura walizopata wachezaji.
Nawasilisha.
kumekukuwa na utaratibu kila week Baada ya michezo ya mechi za uefa kuwepo na goli bora
Week iliyopita tulishuhudia mechi za robo fainali.
Baada ya mechi hizo uefa wanetoa mshindi wa goli bora
Mo salah ameibuka kinara goli lake dhidi ya man city ndio goli bora.
Hizo chini hapo ni kura walizopata wachezaji.
Nawasilisha.