Gold reserve ya Tanzania bado ipo? Kama haipo iliuzwa lini?

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Wadau, katika utawala wa Nyerere fedha zilizokuwa kwenye mzunguko nchini zilikuwa backed up na GOLD RESERVE pale benki kuu. Hii ilimanisha kuwa kama kwenye mzunguko kulikuwa na trioni 10 basi benki kuu palikuwa na dhahabu yenye thamani kama hiyo.

Baada ya mageuzi ya uchumi ya kuanzia kwa Mzee Mwinyi na baadaye Mkapa tuliondoka kwenye GOLD based currency na kuanza mfumo wa PAPER MONEY ambao maana yake ni kwamba benki kuu inaweza ku-print fedha kadri ya mahitaji ya serikali na hii ni mojawapo ya sababu ya fedha kupoteza thamani.

Naomba kuuliza kama kuna mtu anajua hii reserve iliuzwa lini? na kama haijauzwa mpaka sasa tuna dhahabu za thamani gani pale BOT??
 
article-2027925-0D7D44A800000578-748_634x369.jpg


Hivi kwa nini watu wa BOT hawatuambii tuna gold reserve yenye thamani gani?

Imagine...Libya waliwaamini sana waingereza na western countries na nadhani mnaona kinachoendelea

sasa jana Rais Hugo Chavez wa Venezuela ametoa amri kuwa gold reserves za Venezuela ambazo ziko offshore, (nyingi zaid ziko UK) zirejeshwe Venezuela

http://www.businessweek.com/news/2011-08-17/venezuela-to-repatriate-gold-reserves-from-u-s-and-europe.html

s
asa huyu Gavana wetu ambaye huwa hafanyi hata press conference inabidi atuambie tuna reserve ya kiasi gani ndani na nje ya nchi. Na kama nje ziko nchi zipi na kama ziko kwenye ma benki ya nje ni benki zipi tangu lini na zina worth how much na chini ya mikataba ipi na iliopitishwa na nani.
 
Hatuna GOLD reserves... Kenya has more than us that's why their Economy is stable... they per par GOLD

Sisi wajinga tuliuza all of our GOLD reserves... pesa tukazila... we did not invest on infrastructure...
 
Hatuna GOLD reserves... Kenya has more than us that's why their Economy is stable... they per par GOLD

Sisi wajinga tuliuza all of our GOLD reserves... pesa tukazila... we did not invest on infrastructure...

Wachumi wetu Tanzania, tena ma-professa, kila pahala wapo...!! What a bunch of unpatriotic tw*ts!!!
 
Between Tanzania shiling and gold wich is more volatile.?

And if Gold is more volatile why do "ugolded" state like US UK kenya have gold reserve .?

Though am not an ecomnomist i can conclude that we have short sighted manager and leader in our critical institutions.People with no strategic vision. Just making strategic decsion sighting three or 12 months

Yes u can see whet we tanzanian are made of in enegery . 40 MGW , 20MGW. it all a a minister and parlaiment can discuss for one year. shame to say that to have 100 MGW we need another richmond .

Guess what if we need 500 MGW as a single project we need a coup.
 
We bought gold for our gold reserve at $600 per ounce, sold it at $200 per ounce and now we need to buy it again, at $1,800 per ounce!

How did we spend the money when we sold our gold reserves in 2006? And why did the new government sell the national gold reserves just one year into office?

I am surprised that Prof Ndulu claims that the price of gold is unstable. Is he the only national banker who thinks that way? All other countries seem to think otherwise. And who has the final say on the matter: the BOT Governor or parliament?
 
We bought gold for our gold reserve at $600 per ounce, sold it at $200 per ounce and now we need to buy it again, at $1,800 per ounce!<br />
<br />
How did we spend the money when we sold our gold reserves in 2006? And why did the new government sell the national gold reserves just one year into office? <br />
<br />
I am surprised that Prof Ndulu claims that the price of gold is unstable. Is he the only national banker who thinks that way? All other countries seem to think otherwise. And who has the final say on the matter: the BOT Governor or parliament?
<br />
<br />


Hivi JK ndo ameuza Dhahabu in 2006! Hivi hizo hela zilifanya nini cha maana maana tangu aingie madarakani hamna miundo mbinu ya kimkakati iliyojengwa na serikali yake. Hata barabara alizoachiwa na Mwenzake ndo zingine zimeisha mwaka huu.

Hii hela ya dhahabu imetumika wapi?

Yaani ina maana tumekula vitumbua na mandazi tu basi?

Kweli Mzigo wa miwa wa mpumbavu huishia kichwani hata kabla hajautua.
 
Jaman huyu JK ni devil-driven creature. Hebu tuongeze speed ya maamuz tumtoe. Hakika ya MUBARAK lazima yamkute huyu.
Hata akisingizia anaumwa ugonjwa wa roho. Ebo!
 
Haya ndiyo yaleyale ya akina Mkapa, Sumaye, Meighj na Ballali; wanauza nyumba na mashirika ya umma kwa bei za kutupa na chenji inapowekwa hazina, bila ku-equate kinachopotea, wanatoa matamko makubwa makubwa kuwa uchumi wetu umekua na kuimalika. Miaka michache mbeleni inabidi tuwajengee tena magavana na maspika wetu nyumba za kuishi!! What a bunch of unpatriotic shortsighted so-called leaders!!
 
............................

I am surprised that Prof Ndulu claims that the price of gold is unstable. Is he the only national banker who thinks that way? All other countries seem to think otherwise. And who has the final say on the matter: the BOT Governor or parliament?

I have just said its a a problem of selecting middle manager leaders in a strategic position. I once wrote a thread about decision making making. Our institions depend on people brain instead of depending on the process.

Ndulu, Tibaijuka or whom ever can perform better in international institutuon not becuse they are best its because those insititution have the right processes, procudures and tools to help people make sound infomrmed decision

This word we are living is so complex and upredictable. No matter how many distinctions one had in univerisity or whether he worked at IMF and Word bank , decision of critical matter need to be a scientific and technolgical process. Some instiuition and countries have something called decsion support system ( DSS)

A computer system wich when input with right data , scenario and projections it help managers make informed decision.


I once wrote this cost- free online seminar https://www.jamiiforums.com/habari-...online-decision-making-process-and-model.html.

Inashangaza taasisi kama BOT amabayo tunaamii inaajiri vichwa kuna madudu mengi sana.
 
Back
Top Bottom