technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Huyu ni mkuu wa wilaya huko Tanga
Amefanya mauaji ya watoto wadogo wakati wa operations ya kuwaondoa wananchi mgodini na kwa kuweka wawekezaji...
Familia zinasema kuna ndugu zao hasa watoto wamechomwa wakiwa ndani ya Nyumba hizo.
Amri ya mkuu wa wilaya ndio ilitumiwa na police
Nina uhakika kuna watu wamekufa hata kama mtu atahitaji ushahidi wanitafute lengo langu ni kutaka Rais amfukuze na ampeleke mahakamani kwa mauaji..
Na apelekwe mahakamani kwa mauaji ya watu wasio na hatia..
Watu wamekufa kweli kwa mjibu wa BBC
Amefanya mauaji ya watoto wadogo wakati wa operations ya kuwaondoa wananchi mgodini na kwa kuweka wawekezaji...
Familia zinasema kuna ndugu zao hasa watoto wamechomwa wakiwa ndani ya Nyumba hizo.
Amri ya mkuu wa wilaya ndio ilitumiwa na police
Nina uhakika kuna watu wamekufa hata kama mtu atahitaji ushahidi wanitafute lengo langu ni kutaka Rais amfukuze na ampeleke mahakamani kwa mauaji..
Na apelekwe mahakamani kwa mauaji ya watu wasio na hatia..
Watu wamekufa kweli kwa mjibu wa BBC