Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,276
- 25,716
Acha ujingaHuu ujinga wa kupenda kumsifia na kumtukuza Rais kwa kila jambo ndiyo unao sababisha mgawanyiko usio na tija ndani ya nchi yetu. Kila jambo, mtalitafutia kila aina ya sababu ili tu mligeuze na kuwa la kisiasa.
Yaani kumsifia Rais kulete mgawanyiko kwenye taifa . Howcome