Angalia kama kuna bandiko nimesifia cha mafisadi mimiPole sana mkuu, hii ndio ccm hubadirika kama kinyonga! Sasa hivi mnaisifu ccm bila nyie kujua!
Lakini kama kawaida yenu mtajua ikifika oktoba 2025
Angalia kama kuna bandiko nimesifia cha mafisadi mimiPole sana mkuu, hii ndio ccm hubadirika kama kinyonga! Sasa hivi mnaisifu ccm bila nyie kujua!
Lakini kama kawaida yenu mtajua ikifika oktoba 2025
Ndio hivyo mkuu!Angalia kama kuna bandiko nimesifia cha mafisadi mimi
SureHuyu mtu"Magufuli" ndiyo alikuwa tatizo kwa Watanzania. Ameondoka nasi tunasema Ahsante sana Baba kwa kutuondolea mtu aliyewatendea wenzake isivyostahili.
Jina la vice limesha toka na amesha kuwa vice tayari tumalizie basijpm alianza hivi hivi.
nakumbushia tu.
nasubiri jina la vice ndio nijue ni hatua za uwajibikaji zinazochukuliwa au maigizo tu.
Mungu umeamua yatokee haya,wacha tukuache.
Jina la vice limesha toka na amesha kuwa vice tayari tumalizie basi