Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Zile mbwembwe za TRA za kutangaza mapato zimeishia wapi ?tunajua hali mliyofikia.Kama siasa chafu na sera mbaya za uchumi hazita koma,Tanzania itarajie kuwa na hali mbaya ya kiuchumi kuliko Zimbabwe,tena mapema sana,mliwakamua ng'ombe bila kuwalisha na sasa mnakamua damu.ZIMBABWE
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter
Chanzo:Ukurasa wake wa twitter