Kingsmann
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 4,447
- 16,304
Kupitia ukurasa wake wa twitter, mbunge wa Arusha mjini ameandika haya kuhusiana na sakata la kushikiliwa kwa ndege ya shirika la ndege la Tanzania (ATCL):
"Kuna namna neno UZALENDO linapewa tafsiri potofu siku hizi,UZALENDO sio kuiba/kuharibu jambo la mtu/Nchi nyingine kwa manufaa ya Nchi yako,UZALENDO ni kusaidia haki kuthaminiwa na jamii zote Duniani bila kuzingatia mipaka ya Nchi."
"Kwa hili la Ndege yetu kukamatwa Nchini Afrika Kusini,UZALENDO sio kulaumu mawakili Watz waliopewa kazi,UZALENDO ni kumuonea huruma Mzee wa Kizungu juu ya deni lake analodai,njia sahihi ya kuthibitisha UZALENDO ni kuwa na Upendo na watu wote hata kama sio wa damu yako."
"Kuna namna neno UZALENDO linapewa tafsiri potofu siku hizi,UZALENDO sio kuiba/kuharibu jambo la mtu/Nchi nyingine kwa manufaa ya Nchi yako,UZALENDO ni kusaidia haki kuthaminiwa na jamii zote Duniani bila kuzingatia mipaka ya Nchi."
"Kwa hili la Ndege yetu kukamatwa Nchini Afrika Kusini,UZALENDO sio kulaumu mawakili Watz waliopewa kazi,UZALENDO ni kumuonea huruma Mzee wa Kizungu juu ya deni lake analodai,njia sahihi ya kuthibitisha UZALENDO ni kuwa na Upendo na watu wote hata kama sio wa damu yako."