Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Ameandika hivi kupitia twitter:
Tuko kwenye hali mbaya kidemokrasia /utawala wa sheria kuliko Uganda,Rwanda na Burundi.Tuko kwenye butwaa kubwa,hatujui kwa kina kinacho endelea,hali siyo kawaida tena.Tutakuja kushituka hali ikiwa ni mbaya sana.Tunapaswa kuamua sasa tunataka nini kabla giza halijatanda zaidi.
Tuko kwenye hali mbaya kidemokrasia /utawala wa sheria kuliko Uganda,Rwanda na Burundi.Tuko kwenye butwaa kubwa,hatujui kwa kina kinacho endelea,hali siyo kawaida tena.Tutakuja kushituka hali ikiwa ni mbaya sana.Tunapaswa kuamua sasa tunataka nini kabla giza halijatanda zaidi.