Godbless Lema: Spika Ndugai ulitibiwa na pesa ya Bunge na Serikali, lakini unakwamisha Lissu kutibiwa kwa pesa ya Bunge

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818


Mbunge wa Arusha Godbless Lema ameunguruma toka Nairobi,anasema anashangazwa na Spika Ndugai kutokutoa ushirikiano wa matibabu ya Mbunge Lissu kwa gharama za bunge na serikali kama yeye alivyotibiwa India kwa miezi mingi alivyokuwa anaumwa.

Mh.Lema anasema,Spika Ndugai wakati wa ugonjwa wake,haukufanyika mchango wa wabunge kama ule wa send off,bali bunge na serikali vilitoa pesa kwa ajili ya matiabu yake,lakini kwa Mh.Lissu,Spika Ndugai ameishia kuchangisha tu pesa na hakuna juhudi za bunge wala serikali kusaidia gharama za Lissu kama wabunge wengine.Idadi ya mapigo ya risasi,haikuhitaji watu kujiuliza juu ya matibabu nje ya nchi.

M.Lema anashangaa kwanini Lissu hakupewa ulinzi wa polisi wakati alishatoa taarifa za kufuatiliwa?Wakati ugomvi wa Juliana Shonza bungeni unafanya mpaka sasa ate,bee na asakri wa ulinzi aliopewa na Spika?

Lema anasema atarudi nyumbani na kufunguka,watu wanazungukazunguka,lakini yeye atasema moja kwa moja.Amemkumbusha Spika juu ya ugonjwa wake,na kumwambia hapa duniani na pa kupita,hata kama serikali ndio iligharamia matibabu yake India,basi asijipendekeze sana kiasi anasahau utu na ubinadamu.Mh.Lema anashangaa,inakuwaje tofauti ya idadi ya risasi anazotaja Ndugai na Mh.Kubenea,isababishe Kubenea kuitwa kwenye Kamati ya Bunge ya Maadili?
 
Mwambieni Lema, kuna Major General mmoja kapigwa risasi baada ya Lissu na hadi sasa anapata matibabu hapa hapa Bongo. Ili kiongozi atibiwe nje kwa kodi ya Watanzania ni lazima madaktari kutoka hospitali za ndani (Muhimbili) watoe rufaa. Je, kwa tatizo la Lissu hospitali za Tanzania zilisema nini?
 
Mwambieni Lema, kuna Major General mmoja kapigwa risasi baada ya Lissu na hadi sasa anapata matibabu hapa hapa Bongo. Ili kiongozi atibiwe nje kwa kodi ya Watanzania ni lazima madaktari kutoka hospitali za ndani (Muhimbili) watoe rufaa. Je, kwa tatizo la Lissu hospitali za Tanzania zilisema nini?
Weka picha ya matundu ya risasi otherwise this is trash.
 
Mwambieni Lema, kuna Major General mmoja kapigwa risasi baada ya Lissu na hadi sasa anapata matibabu hapa hapa Bongo. Ili kiongozi atibiwe nje kwa kodi ya Watanzania ni lazima madaktari kutoka hospitali za ndani (Muhimbili) watoe rufaa. Je, kwa tatizo la Lissu hospitali za Tanzania zilisema nini?


Ulitaka serikal immalize na sumu?


Swissme
 
mmmh aisee! Inahitaji kujitoa fahamu haswaa kuelewa hii nchi tunaelekea wapi!!
 


Mbunge wa Arusha Godbless Lema ameunguruma toka Nairobi,anasema anashangazwa na Spika Ndugai kutokutoa ushirikiano wa matibabu ya Mbunge Lissu kwa gharama za bunge na serikali kama yeye alivyotibiwa India kwa miezi mingi alivyokuwa anaumwa.

Mh.Lema anasema,Spika Ndugai wakati wa ugonjwa wake,haukufanyika mchango wa wabunge kama ule wa send off,bali bunge na serikali vilitoa pesa kwa ajili ya matiabu yake,lakini kwa Mh.Lissu,Spika Ndugai ameishia kuchangisha tu pesa na hakuna juhudi za bunge wala serikali kusaidia gharama za Lissu kama wabunge wengine.Idadi ya mapigo ya risasi,haikuhitaji watu kujiuliza juu ya matibabu nje ya nchi.

M.Lema anashangaa kwanini Lissu hakupewa ulinzi wa polisi wakati alishatoa taarifa za kufuatiliwa?Wakati ugomvi wa Juliana Shonza bungeni unafanya mpaka sasa ate,bee na asakri wa ulinzi aliopewa na Spika?

Lema anasema atarudi nyumbani na kufunguka,watu wanazungukazunguka,lakini yeye atasema moja kwa moja.Amemkumbusha Spika juu ya ugonjwa wake,na kumwambia hapa duniani na pa kupita,hata kama serikali ndio iligharamia matibabu yake India,basi asijipendekeze sana kiasi anasahau utu na ubinadamu.Mh.Lema anashangaa,inakuwaje tofauti ya idadi ya risasi anazotaja Ndugai na Mh.Kubenea,isababishe Kubenea kuitwa kwenye Kamati ya Bunge ya Maadili?

Asilaumiwe sana sabb ukilazimika kula pipi kila siku kupoza lile "gonjwa la starehe" mpaka mashavu yanatutumka kama bulldog matokeo yake ndiyo haya
 
Nchi inapotea
Naimani siku sio nyingi tutashuhudia waheshimiwa wakizipiga kavukavu tena live
Huyu "supika" alishamchapa bakora mpinzani wake kwenye kura za maoni hadi akakimbizwa hospital!

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Mwambieni Lema, kuna Major General mmoja kapigwa risasi baada ya Lissu na hadi sasa anapata matibabu hapa hapa Bongo
Hivi wale waliomchapa shaba Major General (retired) walisepa na fuko la fedha au nao walishoot na kutoka zao mdogomdogo bila chochote?
 


Mbunge wa Arusha Godbless Lema ameunguruma toka Nairobi,anasema anashangazwa na Spika Ndugai kutokutoa ushirikiano wa matibabu ya Mbunge Lissu kwa gharama za bunge na serikali kama yeye alivyotibiwa India kwa miezi mingi alivyokuwa anaumwa.

Mh.Lema anasema,Spika Ndugai wakati wa ugonjwa wake,haukufanyika mchango wa wabunge kama ule wa send off,bali bunge na serikali vilitoa pesa kwa ajili ya matiabu yake,lakini kwa Mh.Lissu,Spika Ndugai ameishia kuchangisha tu pesa na hakuna juhudi za bunge wala serikali kusaidia gharama za Lissu kama wabunge wengine.Idadi ya mapigo ya risasi,haikuhitaji watu kujiuliza juu ya matibabu nje ya nchi.

M.Lema anashangaa kwanini Lissu hakupewa ulinzi wa polisi wakati alishatoa taarifa za kufuatiliwa?Wakati ugomvi wa Juliana Shonza bungeni unafanya mpaka sasa ate,bee na asakri wa ulinzi aliopewa na Spika?

Lema anasema atarudi nyumbani na kufunguka,watu wanazungukazunguka,lakini yeye atasema moja kwa moja.Amemkumbusha Spika juu ya ugonjwa wake,na kumwambia hapa duniani na pa kupita,hata kama serikali ndio iligharamia matibabu yake India,basi asijipendekeze sana kiasi anasahau utu na ubinadamu.Mh.Lema anashangaa,inakuwaje tofauti ya idadi ya risasi anazotaja Ndugai na Mh.Kubenea,isababishe Kubenea kuitwa kwenye Kamati ya Bunge ya Maadili?


Tunakusubiri kwa mfunguko zaidi.

[HASHTAG]#prayfortundulissu[/HASHTAG]
[HASHTAG]#tunatakakatibampya[/HASHTAG]
 
Back
Top Bottom