maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,165
- 1,528
Alimpigia kama Rais mstaafu. Kwani kazi ya wastaafu ni nini? Si pamoja na ushauri?CCM ni Chama kikubwa sana
Wakati Upinzani umepamba moto Wazee wawili wakapandikizwa Chadema kukipunguzia nguvu ilikuwa 2015
Baada ya Chadema kuwa na Mbunge mmoja CCM wameanza kukitengeneza wanavyotaka Wao
Godbless Lema ni Kijana wa Augustino Lyatonga Mrema ambaye alikuwa Kada mtiifu wa Chadema
JK ikimpendeza huyo Lema ndiye Mwenyekiti ajaye wa Chadema
Jumaa kareem!