rama bendu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2015
- 310
- 220
Lema anapenda Sana sello kwa vijikesi vyake vya kijingakijinga.
kwa ukweli unaosemwa hapa hata usipoona jina kitu kinaingia mahali pake. Wanaotumia majina yao si ndio hao mnawatenda.Bandugu kutukana, kuwa mbishi, kudanganya Na uzushi sio sifa ya upinzani wa kweli. Mnamdanganya Lema ataishia pabaya. Mbona nyie hamjitokezi kwa majina halisi hapa jukwaani tukaona upinzani wenu wa kweli.
lowasa na sumaye ni wasakatongeUliza maswali yenye kichwa
Tunataka watu kama Lema kwenye taifa hili.
Umeona eeeh!?Bandugu kutukana, kuwa mbishi, kudanganya Na uzushi sio sifa ya upinzani wa kweli. Mnamdanganya Lema ataishia pabaya. Mbona nyie hamjitokezi kwa majina halisi hapa jukwaani tukaona upinzani wenu wa kweli.
Dah... kweli aisee... Ingekuwa poa zaidi angepewa uenyekiti wa Dr MboweLema namkubali sana
Lema ni Alama na chachu ya mabadiliko TanzaniaWanaomkamata Lema ndio wanapenda kwani kesi hazina kivhwa MTU ameota wewe unaifanya kesi?
Lena ni Alama na chachu us mabadiliko TanzaniaWanaomkamata Lema ndio wanapenda kwani kesi hazina kivhwa MTU ameota wewe unaifanya kesi?
Watu wa kutoka Kgm hawaaminiki hata kdg.Ukipigwa scholarship.. Na visemina vya ulaya kibao kwa tiketi ya mwakilishi wa wapinzani..wengi hizo offer upinzani wana lainika nikama..angalia zzk..baadae ni usaliti..ili uendelee kupewa mkate na kuku zakutosha
Lema ni kama Mandela..au kama Martin Luther jr
Utaka nchi iwo ya walevi kama Lema?
Uliza maswali yenye kichwa