Godbless Lema: Makamu wa Rais ni Rais mtarajiwa, CCM amueni kwa busara

Sasa Lema anashauri kama nani mana hata serikali iliyopo madarakani hawatambui uhalali wake, Kweli ukiona Choo ndotoni hupaswi kukitumia, Huu ushauri ni trash Ccm ni strongest institute kupata kutokea tangu taifa ili lianzishwe ndio taaisi iliyo sheheni experts wa kila namna, Lema atulie sasa wajipange 2025 kuliko kuelekeza nguvu kushauri taasisi imara kama ccm
Haya sasa!

Yule aliyekuwa anatumia Police, TISS na vyombo vingine vya dola kukilinda chama mfu ndio ashatanguliaa mbele ya haki.
Ombeni sana Vyombo vya dola vibaki vilevile na 'akili za kuendeshwa' na wanasiasa ili kukilinda chama mfu.
 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Wewe endelea kuishi ukimbizini

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Mataga ni wagumu sana kuelewa. Anachomaanisha Lema ni kuwa makamu wa rais anayeteuliwa sasa anytime anaweza kuwa rais in case something bad happend to Madam president katika hii miaka 4.

Akili yako ya kimataga mataga inakutuma kuwaza kushoto always bila kujua kuwa pia kuna upande wa kulia.

Au nyie mnaamini huyu Mama ataweza kumaliza miaka 5 iliyobaki? Mna mkataba na Mungu?
Umakini ule ule mliotumia Nyumbu kumuweka Salum Mwalim kuwa mgombea mwenza
 
Samia Suluhu alichaguliwa na Magufuli kuwa makamu wake? Ndio maana huwa nasema wa tz bado uelewa mdogo
Magufuli alimuona anamfaa na anaweza sana ndio maana akampa 5tena. Acha kujichetua

 
Nimetafakari sana baada ya tukio la Rais kufia madarakani. Nafasi ya Makamu wa Rais ni lazima ijazwe kwa HEKIMA/BUSARA/ UWEZO na sio UDINI, UKANDA, UKABILA. Katiba yetu imeweka mtego mbaya sana kwamba Rais akifa anayekuwa Rais ni Makamu wa Rais mara moja.

Kama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya. Ni muhimu pia kuheshimu UWEZO, hapa simaanishi elimu tu. Prof Kabudi ni zao la utafiti mzuri kuwa elimu bila akili ni sawa na choo bila mlango. CCM amueni kwa ajili ya Nchi.

Godbless Lema.
Sasa watu wanamchukulia poa kabudi
 
Tundu alipewa ushauri,akanusurika kifo bada ya kumiminiwa risasi kadha.

Jambo jema waliotaka afe,wametangulia wao.

Mungu hadhihakiwi

Rais Samia alishawaambia tangu akiwa makamu kwamba serikali ya chama chake haiwezi kuwa na askari wanaokosa risasi tatu bado wakaendelea kuwa kazini.

Ni bora mshirikiane na vyombo vya dola kutafuta aliyempiga tundu risasi kuliko kukimbia nchi na kutumia hilo tukio kutafuta umaarufu na kuichafua nchi yetu
 
Rais Samia alishawaambia tangu akiwa makamu kwamba serikali ya chama chake haiwezi kuwa na askari wanaokosa risasi tatu bado wakaendelea kuwa kazini.

Ni bora mshirikiane na vyombo vya dola kutafuta aliyempiga tundu risasi kuliko kukimbia nchi na kutumia hilo tukio kutafuta umaarufu na kuichafua nchi yetu
Umesema kweli kabisa,kati ya matundu ya risasi zaidi ya 30 kwenye gari,16 zilimlenga.Hongereni kwa shabaha!

Lakini tunamshukuru MUNGU kwa Lissu kuwa Hai.
 
Kwa taarifa yako tuu namjua Salum sanaaa, sio kwa kuambiwa bali kwa kuwa nae kwenye shughuli za kila siku kuanzia asubuhi hadi jioni zaidi ya miaka5

Na uelewe pia kwamba sijamdharau, ila kuwa makamu wa rais au rais wa jmt. Bado sana
Acheni kubadilisha agenda. Hapa tunamzungumzia mtu atakayekuwa Makamu wa Rais na sio mtu ambae angeweza kuwa Makamu wa Rais. Kumfahamu Salum sanaa kwa kuwa ulikuwa nae siku nzima hakuna maana kwetu.

Ushauri uliotolewa ni kuwa watakaomteua Makamu wa Rais wazingatie kuwa wanateua mtu ambae atakuwa pigo moja tu la moyo kutoka kwa Rais. Kuna ubaya gani katika ushauri huu? Ya Lissu na Salum yametokea wapi?

Amandla...
 
Umesema kweli kabisa,kati ya matundu ya risasi zaidi ya 30 kwenye gari,16 zilimlenga.Hongereni kwa shabaha!

Lakini tunamshukuru MUNGU kwa Lissu kuwa Hai.
Unampongeza nani wakati hamtaki kushiriki kwenye upeleleze?!
 
Acheni kubadilisha agenda. Hapa tunamzungumzia mtu atakayekuwa Makamu wa Rais na sio mtu ambae angeweza kuwa Makamu wa Rais. Kumfahamu Salum sanaa kwa kuwa ulikuwa nae siku nzima hakuna maana kwetu.

Ushauri uliotolewa ni kuwa watakaomteua Makamu wa Rais wazingatie kuwa wanateua mtu ambae atakuwa pigo moja tu la moyo kutoka kwa Rais. Kuna ubaya gani katika ushauri huu? Ya Lissu na Salum yametokea wapi?

Amandla...
Inatoka pale lissu nae alipomteua Salum kuwa makamu wake
 
Back
Top Bottom