uporo wa wali ndondo
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 3,455
- 2,237
Ndo nipo njiani narudiUshaenda kumramba viatu chakubanga?
In God we Trust
Ndo nipo njiani narudiUshaenda kumramba viatu chakubanga?
In God we Trust
Ungekuwa na akili usingejiita ugoro
In God we Trust
Unaendeshwa na hisia kuliko ukweli wenyewe.Watu walipania CHADEMA wakidhani inawatetea, ghafal bin ghafla 2015 wanakabadili gia angani na kugawana noti. Leo Lema bila haya anaongelea CHADEMA wakati anajua moyoni alivyocheza dili. Nakusalimu Dr Slaa.
Umeonyesha brainless ya hali ya juu mkuu. Hivi umewahi fundishwa shuleni kuhusu kuwa na DIFFERENT FRAME OF REFERENCE as one of the characteristics of human beings?
Mimi naona kama inatumbikia shimoni vilehavikuwepo na nchi ilikwenda na kimsingi watanzania wengi wakataa vyama hivi.ccm ikavileta na kimsingi vyama hivi ndio vimeleta chiki kati ya watanzania
Ukitaka umfanye mtu awe mtumwa wako,mnyime elimu.
Anaandika GODBLESS J. LEMA (MB) Arusha
Vuta Picha Vyama vyote vikafutwa katika kipindi hiki kikabaki CCM tu chama ulichonacho wewe.
Then hao uliokua unawaona hawafai akina Mbowe, Mdee, Heche, Nassary, Lema n.k wakaona ni UJINGA KUFA unatetea watu wasiojua kujisaidia wenyewe. Wakajiuliza Kwani tunakwama wapi? Acha na sisi tukaungane na CCM mtesi wao na sisi tuishi vizuri tu.
Then Wabunge wote katika Majimbo yote wakatokea CCM kila kitu kikaamuliwa ndani ya Chama.
Mbowe akasaidiwa kujenga Bilcanas mpya maisha yakaendelea kama tunavyoona watu wanasamehewa kubomolewa nyumba zao wakijiunga na CCM.
Mbowe, Mnyika, Lijualikali tayari wanatambulika na system ya Uongozi hapa nchini. Kama DC wa Dodoma anaejitambua kama karai amepata vipi hawa wenye makarai yao watakosa?
Then fikiria wewe Mtanzania wa kawaida utaishije na atakusaidia nani tena kuhoja kuhusu pesa yako?
Kama walipokuwepo watu wa kuhoji pesa yako bado walikua watu wanakula kwa kujificha japo kweli zinaliwa. Vipi wakikosekana?
Hivi mshawahi kufikiria madhara ya hizi Juhudi za Kudhoofisha Upinzani au huwa mnashangilia tu?
Mtaishi kama "Mbwa Koko" na hutatambulika tena kama mfuasi wa CCM watatambuana viongozi kwa viongozi. Who is going to deal with you?
Leo Viongozi wa CCM wanawanyenyekea kidogo wananchi ni kwa sababu wanajua kuna Uchaguzi awamu ijayo.... Na Pengine Jimbo likaenda Upinzani. Ikibaki CCM pekeake nani atakunyenyekea wewe? Nani atakuja kujua hata unaishije?
Mshafikiria?
Hamtamuona Polepole tena! Anakuja kueneza nini? Watakua ofisini tu wakilipana mishahara. Watawachagulia kila kitu na hakuna cha kuwafanya.
Mshafikiria?
Ni ngumu kuelewa kwa kuwa haijatokea na mnaangalia leo tu.
Huwa natamani hii hali itokee hata kwa muda wa mwezi mmoja tu.
Mtakopwa hadi mishahara mtasema wapi? Nani atawapigania kipindi hicho hata kina Lissu wanakula mema ya nchi tu.
Hicho ndo kipindi hata ajira mpya kuna zingine itabidi wapate kwanza watoto wa viongozi na wengine mtapata zitakazobakia.
Hicho ndo kipindi mtapigwa hadi fimbo makazini, nadhani Dalili za Makofi zimeanza na hakuna wa kuwatetea.... Ukienda kushtaki makahamani unawakuta wale wale. Unapeleka kesi na unafungwa wewe. Wa kupiga kelele itakua ni familia yako tu wengine wote wanaogopa.
Akina Mbowe kipindi hicho watakua wanakula kuku kwa mirija tu.
Mtawaita na hawataitika tena. Ipo sababu kubwa sana ya Kuilinda Demokrasia na vyama Vya Upinzani. Walioianzisha na Kuitetea kwa Damu hawakua wajinga they focused on their future.
Hatubembelezani hapa kuilinda demokrasia ya kweli maana kesho ni yetu sote.
Kila Unachotaka kukishabikia kipime kwanza madhara yake ya baadae.
Watu mnatamani vyama vya Upinzani vyote vife au vifutwe ila ipo siku mtavililia na hamtavipata.
Tafakari
Siku njema
Kwanini inawezekana una hoja embu dadavua kidogo utujuzeChadema hii ya sasa IFE tu, hamna atakayeililia. Kwanza ndio watanzania tutasherehekea kifo cha upinzani feki.
Hata Ruzuku mnayoiponda ni hela zetu, viti maalum mnavyohongana ni HELA zetu...Anaandika GODBLESS J. LEMA (MB) Arusha
Vuta Picha Vyama vyote vikafutwa katika kipindi hiki kikabaki CCM tu chama ulichonacho wewe.
Then hao uliokua unawaona hawafai akina Mbowe, Mdee, Heche, Nassary, Lema n.k wakaona ni UJINGA KUFA unatetea watu wasiojua kujisaidia wenyewe. Wakajiuliza Kwani tunakwama wapi? Acha na sisi tukaungane na CCM mtesi wao na sisi tuishi vizuri tu.
Then Wabunge wote katika Majimbo yote wakatokea CCM kila kitu kikaamuliwa ndani ya Chama.
Mbowe akasaidiwa kujenga Bilcanas mpya maisha yakaendelea kama tunavyoona watu wanasamehewa kubomolewa nyumba zao wakijiunga na CCM.
Mbowe, Mnyika, Lijualikali tayari wanatambulika na system ya Uongozi hapa nchini. Kama DC wa Dodoma anaejitambua kama karai amepata vipi hawa wenye makarai yao watakosa?
Then fikiria wewe Mtanzania wa kawaida utaishije na atakusaidia nani tena kuhoja kuhusu pesa yako?
Kama walipokuwepo watu wa kuhoji pesa yako bado walikua watu wanakula kwa kujificha japo kweli zinaliwa. Vipi wakikosekana?
Hivi mshawahi kufikiria madhara ya hizi Juhudi za Kudhoofisha Upinzani au huwa mnashangilia tu?
Mtaishi kama "Mbwa Koko" na hutatambulika tena kama mfuasi wa CCM watatambuana viongozi kwa viongozi. Who is going to deal with you?
Leo Viongozi wa CCM wanawanyenyekea kidogo wananchi ni kwa sababu wanajua kuna Uchaguzi awamu ijayo.... Na Pengine Jimbo likaenda Upinzani. Ikibaki CCM pekeake nani atakunyenyekea wewe? Nani atakuja kujua hata unaishije?
Mshafikiria?
Hamtamuona Polepole tena! Anakuja kueneza nini? Watakua ofisini tu wakilipana mishahara. Watawachagulia kila kitu na hakuna cha kuwafanya.
Mshafikiria?
Ni ngumu kuelewa kwa kuwa haijatokea na mnaangalia leo tu.
Huwa natamani hii hali itokee hata kwa muda wa mwezi mmoja tu.
Mtakopwa hadi mishahara mtasema wapi? Nani atawapigania kipindi hicho hata kina Lissu wanakula mema ya nchi tu.
Hicho ndo kipindi hata ajira mpya kuna zingine itabidi wapate kwanza watoto wa viongozi na wengine mtapata zitakazobakia.
Hicho ndo kipindi mtapigwa hadi fimbo makazini, nadhani Dalili za Makofi zimeanza na hakuna wa kuwatetea.... Ukienda kushtaki makahamani unawakuta wale wale. Unapeleka kesi na unafungwa wewe. Wa kupiga kelele itakua ni familia yako tu wengine wote wanaogopa.
Akina Mbowe kipindi hicho watakua wanakula kuku kwa mirija tu.
Mtawaita na hawataitika tena. Ipo sababu kubwa sana ya Kuilinda Demokrasia na vyama Vya Upinzani. Walioianzisha na Kuitetea kwa Damu hawakua wajinga they focused on their future.
Hatubembelezani hapa kuilinda demokrasia ya kweli maana kesho ni yetu sote.
Kila Unachotaka kukishabikia kipime kwanza madhara yake ya baadae.
Watu mnatamani vyama vya Upinzani vyote vife au vifutwe ila ipo siku mtavililia na hamtavipata.
Tafakari
Siku njema
Hii imenishangaza sana asee,CCM wameanza kuwalilia wabunge eti wanawahitaji bungeni.