Godbless Lema: Kuna maeneo hakimu amegoma kupiga mihuri fomu za wagombea wa CHADEMA

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
47,013
144,371
Hii ndio tweet ya Lema:

Ktka uchaguzi wa marudio kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria kuna maeneo hakimu amegoma kupiga mihuri fomu za wagombea wa Chadema, Iringa mgombea alitekwa na kuporwa fomu.Tunduma fomu za wagombea wa Chadema zimetolewa kwa wasio wagombea.Taifa hili linapotea,no sauti gani italiokoa?

My take:
Wapinzani, mnatakiwa kukutana kwa dharura na kuandaa hoja za kisheria za kuitaka mahakama isitishe huu uchaguzi na ikiwezeka muishtaki pia Tume ya Uchaguzi ili na yenyewe iwekewe zuio kuendelea kusimami uchaguzi wowote.

Mimi naaminI wapinzani bado hamjatumia vizuri haki yenu ya kisheria kuipinga Tume ya Uchaguzi na sheria za uchaguzi zinazowafanya mlalamike karibu katika kila uchaguzi.

Kushindwa katika kesi inayohusu sheria ya uchaguzi iliyokuwa ikisimamiwa na wakili Fatm Karumu sidhani kama ndio mwisho wa nyie kutafuta haki zenu mahakamani.

Kama Mahakama huwa zinatoa hukumu kuwa baadhi ya sheria ni mbovu na hazifai,sheri hii ya uchaguzi inayoruhusu wakurugenzi wa Halamshauri ambao ni wateuliwa wa Rais(Mwenyekiti wa chama cha siasa), hamuwezi kweli kuijengea hoja mahakamani kuipinga?

Tume ya uchaguzi ambayo nayo viongozi na watendaji wake nao ni wateule wa Raisi hamuwezI kuijenga hoja mahakamani kuipinga?

Kama haya yanatushinda au hayawezekani, basi sauti pekee ya kutuokoa ni ile slogan fulani mnayoitumiaga.
 
Hii ndio tweet ya Lema:

Ktka uchaguzi wa marudio kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria kuna maeneo hakimu amegoma kupiha mihuri fomu za wagombea wa Chadema, Iringa mgombea alitekwa na kuporwa fomu.Tunduma fomu za wagombea wa Chadema zimetolewa kwa wasio wagombea.Taifa hili linapotea,no sauti gani italiokoa.

My take:
Wapinzani, mnatakiwa kukutana kwa dharura na kuandaa hoja za kisheria za kuitaka mahakama isitishe huu uchaguzi na ikiwezeka muishtaki pia Tume ya Uchaguzi ili na yenyewe iwekewe zuio kuendelea kusimami uchaguzi wowote.

Mimi naaminI wapinzani bado hamjatumia vizuri haki yenu ya kisheria kupinga Tume ya Uchaguzi na sheria za uchaguzi zinazowafanya mlalamike katiika kila uchaguzi.

Kushindwa katika kesi ya sheria ya uchaguzi iliyokuwa ikisimamiwa na Wakili Fatm Karumu sidhani kama ndio mwisho wa nyie kutafuta haki zenu mahakamani.

Kama Mahakama huwa zinatoa huku kuwa baadhi ya sheria ni mbovu,sheri hii ya uchaguzi inayoruhusu wakurugenzi wa Halamshauri ambao ni wateuliwa wa Rais(Mwenyekiti wa chama cha siasa), hamuwezi kuijengea hoja mahakamani kuipinga?

Tume ya uchaguzi ambayo viongozi na watendaji wake nao ni wateule wa Raisi hamuwezI kujenga hoja mahakamani kuipinga?

Kama haya yanatushinda au hayawezekani, basi sauti pekee ya kutuokoa ni slogan fulani mnayoitumiaga.
Waende kwa Mawakili
 
Tumechoka na hizi porojo, hata mahakimu wakiwagongea mihuri watangaza matokea si ni walewale DED wa halmashauri? Mmesahau wameagizwa nini?
Na hiyo kauli kama wana clip yake wanaweza hata kuitumia mahakamani.

Pia, kama wana ushaidi wa baadhi ya wakurugenzi wa Halamshauri kuwa ni makada wa chama basi wautumie ushahidi huo kujenga hoja mahakamani.
 
Na hiyo kauli kama wana clip yake wanaweza hata kuitumia mahakamani.

Pia, kama wana ushaidi wa baadhi ya wakurugenzi wa Halamshauri kuwa ni makada wa chama basi wautumie ushahidi huo kujenga hoja mahakamani.
Kwahiyo wewe umeshaachana na Chadema?
 
Na hiyo kauli kama wana clip yake wanaweza hata kuitumia mahakamani.

Pia, kama wana ushaidi wa baadhi ya wakurugenzi wa Halamshauri kuwa ni makada wa chama basi wautumie ushahidi huo kujenga hoja mahakamani.
leo mahakama zipo? si huwa mnaliaga humu kuwa mahakama hazipo huru?? huwa nafurah sana mnapotandikwa na kudhulumiwa kwa maana hamna akili hata kidogo!!
 
Hii ndio tweet ya Lema:

Ktka uchaguzi wa marudio kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria kuna maeneo hakimu amegoma kupiga mihuri fomu za wagombea wa Chadema, Iringa mgombea alitekwa na kuporwa fomu.Tunduma fomu za wagombea wa Chadema zimetolewa kwa wasio wagombea.Taifa hili linapotea,no sauti gani italiokoa?

My take:
Wapinzani, mnatakiwa kukutana kwa dharura na kuandaa hoja za kisheria za kuitaka mahakama isitishe huu uchaguzi na ikiwezeka muishtaki pia Tume ya Uchaguzi ili na yenyewe iwekewe zuio kuendelea kusimami uchaguzi wowote.

Mimi naaminI wapinzani bado hamjatumia vizuri haki yenu ya kisheria kuipinga Tume ya Uchaguzi na sheria za uchaguzi zinazowafanya mlalamike karibu katika kila uchaguzi.

Kushindwa katika kesi inayohusu sheria ya uchaguzi iliyokuwa ikisimamiwa na wakili Fatm Karumu sidhani kama ndio mwisho wa nyie kutafuta haki zenu mahakamani.

Kama Mahakama huwa zinatoa hukumu kuwa baadhi ya sheria ni mbovu na hazifai,sheri hii ya uchaguzi inayoruhusu wakurugenzi wa Halamshauri ambao ni wateuliwa wa Rais(Mwenyekiti wa chama cha siasa), hamuwezi kweli kuijengea hoja mahakamani kuipinga?

Tume ya uchaguzi ambayo nayo viongozi na watendaji wake nao ni wateule wa Raisi hamuwezI kuijenga hoja mahakamani kuipinga?

Kama haya yanatushinda au hayawezekani, basi sauti pekee ya kutuokoa ni ile slogan fulani mnayoitumiaga.
Umeambiwa mahakimu wamegoma piga mhuri fomu zao,we unashauri waende mahakamani tena hukohuko.
 
Wazuie uchaguzi mahakamani.
Wakipinga kukiukwa kwa taratibu za kupiga kura vinginevyo waunge mkono wagombea wa vyama vingine kama CUF au chochote nje ya CCM hata kama ni CUF Lipumba.
Alimradi isiwe CCM.

Kulalamika tu kwenye twita haisaidii.
 
Dunia nzima Kama huna Imani Na Tume ya Uchaguzi huwa wanajitoa kwenye Uchaguzi
 
Wagombea wengine wa chadema nani anagongaga mihuri kwny form zao?!
 
Hii ndio tweet ya Lema:

Ktka uchaguzi wa marudio kuna ukiukwaji mkubwa wa sheria kuna maeneo hakimu amegoma kupiga mihuri fomu za wagombea wa Chadema, Iringa mgombea alitekwa na kuporwa fomu.Tunduma fomu za wagombea wa Chadema zimetolewa kwa wasio wagombea.Taifa hili linapotea,no sauti gani italiokoa?

My take:
Wapinzani, mnatakiwa kukutana kwa dharura na kuandaa hoja za kisheria za kuitaka mahakama isitishe huu uchaguzi na ikiwezeka muishtaki pia Tume ya Uchaguzi ili na yenyewe iwekewe zuio kuendelea kusimami uchaguzi wowote.

Mimi naaminI wapinzani bado hamjatumia vizuri haki yenu ya kisheria kuipinga Tume ya Uchaguzi na sheria za uchaguzi zinazowafanya mlalamike karibu katika kila uchaguzi.

Kushindwa katika kesi inayohusu sheria ya uchaguzi iliyokuwa ikisimamiwa na wakili Fatm Karumu sidhani kama ndio mwisho wa nyie kutafuta haki zenu mahakamani.

Kama Mahakama huwa zinatoa hukumu kuwa baadhi ya sheria ni mbovu na hazifai,sheri hii ya uchaguzi inayoruhusu wakurugenzi wa Halamshauri ambao ni wateuliwa wa Rais(Mwenyekiti wa chama cha siasa), hamuwezi kweli kuijengea hoja mahakamani kuipinga?

Tume ya uchaguzi ambayo nayo viongozi na watendaji wake nao ni wateule wa Raisi hamuwezI kuijenga hoja mahakamani kuipinga?

Kama haya yanatushinda au hayawezekani, basi sauti pekee ya kutuokoa ni ile slogan fulani mnayoitumiaga.

Jamani huku siyo kudanganyana kweli?

Inawezekanaje Hakimu akatae tu kumsainia mgombea halali wa nafasi fulani ya uongozi bila kuwa na sbb genuine huku huyo Hakimu akijua kuwa huo ni wajibu wake wa kisheria halafu yet anayekataliwa aone ni kawaida tu badala ya kuchukua hatua stahiki palepale??

Hivi solution ya hilo ni kuja kulalamika kwenye social medias kweli?...... Aisee, nyie kina Godbless Lema na CHADEMA na vyama vingine hebu kuweni serious. Mambo mengine ni kupambana kwa nguvu zote na siyo kulalamika lalamika tu!!

Hili mnalolilalamikia naweza kulifafanisha na tukio la jamaa la yangu mmoja ambaye alikuwa anafanya kazi ktk kampuni binafsi flani DSM. Huyo ndugu (rafiki yangu) alifiwa na Baba yake mzazi.

Kwa utaratibu kabisa akisaidiwa na wafanyakazi wenzake akaenda kwa Boss wake kumtaarifu ili awe released aende kuzika babaye. Badala ya huyu Boss ku - sympathize na mfanyakazi wake, alimkatalia kwenda kumzika baba yake mzazi bwana. Hawa jamaa hawakuelewa nini kilikuwa kwenye kichwa cha huyu bwana!!

Unajua kilichofuata ni nini?

Ndugu yule aliyekuwa ameambatana na rafiki zake wawili kama kumpa support ktk wakati ule mgumu, hawakuamini kauli ya Boss yule. Ni kana kwamba walikuwa wanaota....!!

Kilichofuata ni kuwa, yule Boss alitandikwa makofi na wale jamaa ndani ya ofisi yake na mara moja jamaa wale walimtoa jamaa yao na kumsindikiza hadi kwao kumzika baba yake....!!

Baada ya tukio lile, waweza ku - guess nini kilitokea.

Ni kwamba yule Boss yeye ndiye aliyepoteza nafasi yake kwa ujinga ule alioufanya na tukumbuke kuwa kabla, alikuwa amekula mkong'oto wa haja toka kwa waliokuwa subordinates wake...!!

Ni kwamba kuna watu wengine wengi tu wanashikilia madaraka flani flani ktk jamii kimakosa, hawastahili hawajui wala kutambua majukumu na wajibu wao ktk nafasi hizo wanazoshikilia....!!

Anyway. May be, mfano huu waweza usiwe unawiana moja kwa moja na hili la mahakimu wanaotuhumiwa kukataa kusaini fomu za wagombea.

Na ofkoz, ni vigumu kumlamba makofi hakimu kama walivyofanya wale wafanyakazi kumtetea jamaa yao.....

Lakini zipo njia za haraka za kuwashikisha adabu hakimu wa namna hii anayetia mgomo wa makusudi kusaini fomu za wagombea kwa nia (labda) ya kuwakwamisha kinyume cha sheria bila sababu za msingi....

Tumieni njia za kisheria haraka kulishughulikia hilo.

Don't complain on Social media because it won't help anything. Kuendelea kulalamika tu bila kuchukua hatua, mwisho wa siku mtajikuta mmetupwa nje kwa ujanja ujanja huu wa kupuuzi wa kupotezewa muda!!
 
Back
Top Bottom