Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Mh.Godblees Lema amesema kupitia mtandao wa twitter kuwa, kwa sasa anaweza kuongea na waandishi wa habari kuhusu kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji.
Lema ataongea na waandishi tarehe 16, Oktoba 2018 na atafanya mkutano huo katika Makao Makuu ya CHADEMA
Lema ataongea na waandishi tarehe 16, Oktoba 2018 na atafanya mkutano huo katika Makao Makuu ya CHADEMA