redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,138
- 11,506
Tangu alipo lamba viatu vya maMvi hana tena atakalo ongea akaeleweka, Ni kama aliye changanyikiwa , mara akusanye wenzake wakazike mbwa!! Hakuna ambalo ataongea likawa na maana yoyote. Uyu ata apewe airtime na redio/ tv mwaka mzima hawez ongea jambo la maana ni vituko tu.Waziri Kivuli wa Mambo ya Ndani, Mh.Godblees Lema amesema kupitia mtandao wa twitter kuwa, kwa sasa anaweza kuongea na waandishi wa habari kuhusu kutekwa kwa mfanyabiashara Mo Dewji.