johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,914
- 141,864
Nimekusikiliza mbunge mstaafu wa Arusha mjini mh Lema kule kwa Maria ukidai Watumishi wanaodhibiti Wapinzani huteuliwa vyeo vikubwa.
Hii siyo kweli bwashee Lema.
Mbona Makonda, Ole Sabaya, Mnyeti na hata Kasesela hawajateuliwa?
Hata hivyo hongera kwa Mkoa wako kutoa viongozi wakuu wa Jeshi la polisi nakumbuka hata wewe ulikuwa Waziri kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hii siyo kweli bwashee Lema.
Mbona Makonda, Ole Sabaya, Mnyeti na hata Kasesela hawajateuliwa?
Hata hivyo hongera kwa Mkoa wako kutoa viongozi wakuu wa Jeshi la polisi nakumbuka hata wewe ulikuwa Waziri kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani.