Godbless Lema huwa anakosa Busara/Hekima. Ingawa yeye anaamini ana busara na hekima sana. Hapa alimkosea sana P. Msigwa

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo.
Hana vyote hivyo viwili, na hana exposure. Labda kwa kukaa Canada itamsaidia kidogo, lakini kikwazo ni kuwa anaamini kuwa anajua kila kitu kwa hiyo hahitaji kujifunza chochote!
Bottom line: atabaki mbumbumbu maisha yake yote.
 
Peter Msigwa alipost maoni yake akiamini kuwa Chenge ni mtu ambaye angefaa kuwa Speaker wa Bunge. Pamoja na kuwa anaona Bunge halieleweki ila anaamini Chenge ni mtu mwenye msimamo na msomi wa kweli.

Lema kwa upumbavu mkubwa akaandika katika Twitter ya mwenzie. FUTA. huu ni upumbavu. Ni kuingilia uhuru wa mtu. Lakini pia angekuwa na busara. Alipaswa amfuate Peter pembeni kumwambia kwa nini anashauri kuwa ile Twitter/Post si sahihi.

Muungwana angefanya hivyo na si kumwamuru Ndugu Msigwa afute utadhani anamwambia Mtoto wake. Peter alifuta but nadhani baadaye akafikiri vizuri na kuamua kuirudisha tena.

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo. Bado hajaweza kuwa na busara na kujua namna ya ku deal na mambo. Nakumbuka mara kadhaa pia amekuwa akishushuliwa na Tundu Lissu kwenye mambo kadhaa. Hasa ya kisheria huko Club House.

Shida ni kuwa yeye Lema anajiona anajua sana.ana busara,akili na hekima. Uhalisia ni kuwa ni mwongeaji sana ambaye hujikuta mara nyingine hajui vizuri hata anachoongelea ingawa yeye anaamini anakijua.

Nimekuwa nikijaribu kumsikiliza kwenye mazungumzo mbalimbali. Lema ni jamaa tu ambaye amepata platform ya kisiasa lakini kichwani hana tofauti sana na Musukuma au Kibajaji.

Anapaswa ajifunze kuheshimu wenzie..na ajifunze kufahamu maisha jinsi yalivyo. Ajifunze kupata busara.

View attachment 2075432
Watu wengi wa Arusha, Wana mapepe sana kujifanya wajuaji sana. Wengi wanakuja DSM kushangaa mwendokasi na kusepa na kujifanya DSM wameimaliza
 
Mmefanya majungu hapo kijani mmeona hamtosheki Sasa mnataka kuyavusha mipaka, mlimpiga nyundo ya kichwa Mzee wa galilaya Kwa kuongea ukweli, kisa mnaogopa kukosolewa.

Chadema wanaamini katika haki na zaidi katika uhuru wa mawazo. Sasa mjue TU mzee wa galilaya a anaongeza nguzu katika kuipata katiba mpya ya wananchi, mwanzo hakua anaamini kama ni muhimu ila baada ya kukutwa na zahama Sasa ameelewa🤔.

Labda unaiongelea cdm nyingine, lkn kama ni hii!!? Thubutu yako, huko hakuna haki wala nini. Kama huamini, nenda seriously kachukue form ya kugombea uenyekiti, ndiyo utaelewa ninacho maanisha.
 
Peter Msigwa alipost maoni yake akiamini kuwa Chenge ni mtu ambaye angefaa kuwa Speaker wa Bunge. Pamoja na kuwa anaona Bunge halieleweki ila anaamini Chenge ni mtu mwenye msimamo na msomi wa kweli.

Lema kwa upumbavu mkubwa akaandika katika Twitter ya mwenzie. FUTA. huu ni upumbavu. Ni kuingilia uhuru wa mtu. Lakini pia angekuwa na busara. Alipaswa amfuate Peter pembeni kumwambia kwa nini anashauri kuwa ile Twitter/Post si sahihi.

Muungwana angefanya hivyo na si kumwamuru Ndugu Msigwa afute utadhani anamwambia Mtoto wake. Peter alifuta but nadhani baadaye akafikiri vizuri na kuamua kuirudisha tena.

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo. Bado hajaweza kuwa na busara na kujua namna ya ku deal na mambo. Nakumbuka mara kadhaa pia amekuwa akishushuliwa na Tundu Lissu kwenye mambo kadhaa. Hasa ya kisheria huko Club House.

Shida ni kuwa yeye Lema anajiona anajua sana.ana busara,akili na hekima. Uhalisia ni kuwa ni mwongeaji sana ambaye hujikuta mara nyingine hajui vizuri hata anachoongelea ingawa yeye anaamini anakijua.

Nimekuwa nikijaribu kumsikiliza kwenye mazungumzo mbalimbali. Lema ni jamaa tu ambaye amepata platform ya kisiasa lakini kichwani hana tofauti sana na Musukuma au Kibajaji.

Anapaswa ajifunze kuheshimu wenzie..na ajifunze kufahamu maisha jinsi yalivyo. Ajifunze kupata busara.

View attachment 2075432
Na wewe nakuambia FUTA huu uzi. Hapo nimekosea?
 
Peter Msigwa alipost maoni yake akiamini kuwa Chenge ni mtu ambaye angefaa kuwa Speaker wa Bunge. Pamoja na kuwa anaona Bunge halieleweki ila anaamini Chenge ni mtu mwenye msimamo na msomi wa kweli.

Lema kwa upumbavu mkubwa akaandika katika Twitter ya mwenzie. FUTA. huu ni upumbavu. Ni kuingilia uhuru wa mtu. Lakini pia angekuwa na busara. Alipaswa amfuate Peter pembeni kumwambia kwa nini anashauri kuwa ile Twitter/Post si sahihi.

Muungwana angefanya hivyo na si kumwamuru Ndugu Msigwa afute utadhani anamwambia Mtoto wake. Peter alifuta but nadhani baadaye akafikiri vizuri na kuamua kuirudisha tena.

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo. Bado hajaweza kuwa na busara na kujua namna ya ku deal na mambo. Nakumbuka mara kadhaa pia amekuwa akishushuliwa na Tundu Lissu kwenye mambo kadhaa. Hasa ya kisheria huko Club House.

Shida ni kuwa yeye Lema anajiona anajua sana.ana busara,akili na hekima. Uhalisia ni kuwa ni mwongeaji sana ambaye hujikuta mara nyingine hajui vizuri hata anachoongelea ingawa yeye anaamini anakijua.

Nimekuwa nikijaribu kumsikiliza kwenye mazungumzo mbalimbali. Lema ni jamaa tu ambaye amepata platform ya kisiasa lakini kichwani hana tofauti sana na Musukuma au Kibajaji.

Anapaswa ajifunze kuheshimu wenzie..na ajifunze kufahamu maisha jinsi yalivyo. Ajifunze kupata busara.

View attachment 2075432
Lema ni muhuni fulani na mjuaji....mjini huwaita "washamba wachangamfu".....
 
Peter Msigwa alipost maoni yake akiamini kuwa Chenge ni mtu ambaye angefaa kuwa Speaker wa Bunge. Pamoja na kuwa anaona Bunge halieleweki ila anaamini Chenge ni mtu mwenye msimamo na msomi wa kweli.

Lema kwa upumbavu mkubwa akaandika katika Twitter ya mwenzie. FUTA. huu ni upumbavu. Ni kuingilia uhuru wa mtu. Lakini pia angekuwa na busara. Alipaswa amfuate Peter pembeni kumwambia kwa nini anashauri kuwa ile Twitter/Post si sahihi.

Muungwana angefanya hivyo na si kumwamuru Ndugu Msigwa afute utadhani anamwambia Mtoto wake. Peter alifuta but nadhani baadaye akafikiri vizuri na kuamua kuirudisha tena.

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo. Bado hajaweza kuwa na busara na kujua namna ya ku deal na mambo. Nakumbuka mara kadhaa pia amekuwa akishushuliwa na Tundu Lissu kwenye mambo kadhaa. Hasa ya kisheria huko Club House.

Shida ni kuwa yeye Lema anajiona anajua sana.ana busara,akili na hekima. Uhalisia ni kuwa ni mwongeaji sana ambaye hujikuta mara nyingine hajui vizuri hata anachoongelea ingawa yeye anaamini anakijua.

Nimekuwa nikijaribu kumsikiliza kwenye mazungumzo mbalimbali. Lema ni jamaa tu ambaye amepata platform ya kisiasa lakini kichwani hana tofauti sana na Musukuma au Kibajaji.

Anapaswa ajifunze kuheshimu wenzie..na ajifunze kufahamu maisha jinsi yalivyo. Ajifunze kupata busara.

View attachment 2075432
Sipendi kuwa mkali, lakini JF siyo mahali pa kuzungumza watu na matukio.
Ni mahali pa kuzungumza hoja.
Ukitaka kuzungumza juu ya fulani kamfurahisha fulani, huo ni uhuru wako, lakini kautumie kwenye Majukwaa ya watu wenye ubongo mdogo where small minds talking about people and events are entertained!
Not JamiiForums.
This is a forum for great minds only
 
Sipendi kuwa mkali, lakini JF siyo mahali pa kuzungumza watu na matukio.
Ni mahali pa kuzungumza hoja.
Ukitaka kuzungumza juu ya fulani kamfurahisha fulani, huo ni uhuru wako, lakini kautumie kwenye Majukwaa ya watu wenye ubongo mdogo where small minds talking about people and events are entertained!
Not JamiiForums.
This is a forum for great minds only
Mbona umeguswa sana....wewe ni mchepuko wake nini? Unaandika kama unaharisha. Hoja zinatolewa na nani? Unadhani consistency ya jambo flani inatokana na nini? Hujielewi. Umekariri. Unafahamu maana ya personality traits? Hoja huwa hoja inapotolewa na binadamu. Na wasomi huenda mbali zaidi kuangalia aliyetoa hoja ana msimamo,mtizamo,falsafa au kiakili yupoje. Hapo ni mtu. Usikariri ukadhani hizo hoja zinaletwa na upepo. Nimetumia maneno malaini kabisa ambayo hayatakukwaza ila yatakufanya uelewe kwa urahisi.
 
Peter Msigwa alipost maoni yake akiamini kuwa Chenge ni mtu ambaye angefaa kuwa Speaker wa Bunge. Pamoja na kuwa anaona Bunge halieleweki ila anaamini Chenge ni mtu mwenye msimamo na msomi wa kweli.

Lema kwa upumbavu mkubwa akaandika katika Twitter ya mwenzie. FUTA. huu ni upumbavu. Ni kuingilia uhuru wa mtu. Lakini pia angekuwa na busara. Alipaswa amfuate Peter pembeni kumwambia kwa nini anashauri kuwa ile Twitter/Post si sahihi.

Muungwana angefanya hivyo na si kumwamuru Ndugu Msigwa afute utadhani anamwambia Mtoto wake. Peter alifuta but nadhani baadaye akafikiri vizuri na kuamua kuirudisha tena.

Mara nyingi nimekuwa nikisema Lema ana Uelewa mdogo au Elimu ndogo. Bado hajaweza kuwa na busara na kujua namna ya ku deal na mambo. Nakumbuka mara kadhaa pia amekuwa akishushuliwa na Tundu Lissu kwenye mambo kadhaa. Hasa ya kisheria huko Club House.

Shida ni kuwa yeye Lema anajiona anajua sana.ana busara,akili na hekima. Uhalisia ni kuwa ni mwongeaji sana ambaye hujikuta mara nyingine hajui vizuri hata anachoongelea ingawa yeye anaamini anakijua.

Nimekuwa nikijaribu kumsikiliza kwenye mazungumzo mbalimbali. Lema ni jamaa tu ambaye amepata platform ya kisiasa lakini kichwani hana tofauti sana na Musukuma au Kibajaji.

Anapaswa ajifunze kuheshimu wenzie..na ajifunze kufahamu maisha jinsi yalivyo. Ajifunze kupata
Lema nje ya kukosa elimu pia hana akili kabisa.
Huwa analazimishia mambo kusoma na ku kremu vitu lakini ukimsikiliza hana logic yoyote ile.

Mimi ni rafiki yangu na huwa tunakutanaga Kibo Palace hotel hapa Arusha au sehemu nyingine ila simuelewagi anaongelea nini. Anatakiwa aendelee kujifunza
 
Back
Top Bottom