Leak
JF-Expert Member
- Feb 22, 2012
- 52,187
- 42,011
Wasalaam wana JF .
Vyanzo vya ndani ya chadema vinasema Lema ndio amekuwa akitumiwa na kundi la Mbowe kuwawekea mitego wabunge wenzie wanao kinzana na Mbowe kuiongoza chadema bila kikomo.
Swala la Kubenea na Komu lilishajadiliwa sana na ndani ya chadema na Lema amekuwa akishauri wafukuzwe kabla ya wao kuondoka wenyewe...
Mtakumbuka Lema alitumika kuwaondoa mwigamba ,Kitila bila kumsahau Zitto na kwenye hili alikwenda mbele zaidi na kumpiga tofali na kichwa Samsoni Mwigamba..
Hadi kabla ya Kubenea na Komu hawajaitwa ilikuwa inajulikana wazi kabisa na ilikuwa imepangwa wasikilizwe lakini kwa vyovyote vile lazima wafukuzwe kabisa na Lema aliwambia wajumbe kuwasamehe Komu na Kubenea ni kuhalalisha usaliti ndani ya chama na alihoji kama hawa wana samehewa kwanini Zitto alifurushwa kama mwizi?
Baada ya Kubenea na Komu kupewa msamaha baada ya Lema kuzidiwa kura na wajumbe wengine alitoka nje kwa hasira na alisusa hadi kula na hakuwa maeongea na mtu tena kwani yeye aliamini kabisa wasaliti hawa lazima wafukuzwe.....
Bahati mbaya walianza kusambaza habari za kufukuzwa kwa Komu na kubenea kwenye magroup ya chadema kabla hata ya vikao na wengi wamesema hata kama wamesamehewa lakini kamwe hawawezi kufanya kazi na wasaliti hawa.
Mh Lema yeye bado ana amini Kubenea na Komu si wanachadema kabisa maana yeye hapatani na wasaliti.
Vyanzo vya ndani ya chadema vinasema Lema ndio amekuwa akitumiwa na kundi la Mbowe kuwawekea mitego wabunge wenzie wanao kinzana na Mbowe kuiongoza chadema bila kikomo.
Swala la Kubenea na Komu lilishajadiliwa sana na ndani ya chadema na Lema amekuwa akishauri wafukuzwe kabla ya wao kuondoka wenyewe...
Mtakumbuka Lema alitumika kuwaondoa mwigamba ,Kitila bila kumsahau Zitto na kwenye hili alikwenda mbele zaidi na kumpiga tofali na kichwa Samsoni Mwigamba..
Hadi kabla ya Kubenea na Komu hawajaitwa ilikuwa inajulikana wazi kabisa na ilikuwa imepangwa wasikilizwe lakini kwa vyovyote vile lazima wafukuzwe kabisa na Lema aliwambia wajumbe kuwasamehe Komu na Kubenea ni kuhalalisha usaliti ndani ya chama na alihoji kama hawa wana samehewa kwanini Zitto alifurushwa kama mwizi?
Baada ya Kubenea na Komu kupewa msamaha baada ya Lema kuzidiwa kura na wajumbe wengine alitoka nje kwa hasira na alisusa hadi kula na hakuwa maeongea na mtu tena kwani yeye aliamini kabisa wasaliti hawa lazima wafukuzwe.....
Bahati mbaya walianza kusambaza habari za kufukuzwa kwa Komu na kubenea kwenye magroup ya chadema kabla hata ya vikao na wengi wamesema hata kama wamesamehewa lakini kamwe hawawezi kufanya kazi na wasaliti hawa.
Mh Lema yeye bado ana amini Kubenea na Komu si wanachadema kabisa maana yeye hapatani na wasaliti.