Uchaguzi 2020 Godbless Lema: Arusha leo kuna Mechi ya Simba bure na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu Mkutano wa Tundu Lissu

Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.

Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.

Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.

Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.

Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
CHADEMA picha zenu sio za kuamini hata siku moja. Mnapenda Sana kujifariji kuliko uharisia.
 
Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.

Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.

Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.

Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.

Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
Kumbe Mikia Fc nimamuruki eh
 
Mkuu kamwe shetani hawezi kushindana na Mungu akashinda.
Nyie watu mnamatatizo sana, mnasema mechi ni bure na imeandaliwa na serikali, kweli nyie kwa uongo huo ndo mnataka watu wawaamini? upuuzi mtupu, mwisho mtasema serikali imeamua na mke wa Makonda azae mapacha leo ili aongelewe CHADEMA isisikike, afu imekuwaje sikuhizi mikutano yenu mnafanyia vichochoroni?
IMG_20200831_152749.jpg
 
Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.

Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.

Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.

Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.

Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
Naona Radio Zote za Arusha hazijakwenda kwa mkutano pengine ni baada ya TBC kutolewa baru wakati inaonesha live...
Hivi kuna channel ya utube inaonesha mkutano wa Arusha kwani nimesearch bila majibu....
 
Naona Radio Zote za Arusha hazijakwenda kwa mkutano pengine ni baada ya TBC kutolewa baru wakati inaonesha live...
Hivi kuna channel ya utube inaonesha mkutano wa Arusha kwani nimesearch bila majibu....
Cheki ya chadema
 
33 Reactions
Reply
Back
Top Bottom