Ya lini hii?
Ccm Arusha ni sawa na mafuta na majiLissu kanyaga twende...!!!
Umeonaeeeeee? Sasa hivi wapo wamejifungia huko dodoma wanatafuta mbinu mbadalaNimekubali, Lisu anashinda! Watamuibia kura, lkn anashinda!
Huyo hajui kitu maana kazi yake ni kupongeza tuLive now
Lema afungashefungashe mwenye jimbo lake keshafika Mrisho Gambo.
Ukiangalia anga nalo jeupe peee....hata ndege wamekataa kukatiza.Njama za kuhujumu ujio wa mh Lissu hapa bikini Arusha kuendeleza kampeini zake na cdm zimebuuma.
Ccm walijua kabisa kuwa mh Lissu ana washabiki na wapenzi wengi sana hapa Arusha na wengi wao ni vijana ambao wameichoka ccm.
Hivyo wakaona njia ya kuwa fanya wasiende kwenye mapokezi na mkutano wa mh Lissu ni kuandaa mechi ya kustukiza ya soka kati ya simba na Arusha fc.
Matokeo yake watu wamegoma kwenda uwanjani kutazama mpira ingawa wapo pia wapenzi wa simba lkn wameamua kwenda kumsikiliza rais wao mtarajiwa mh Lissu.
Nawapongeza sana wana wa Arusha.
Hiyo ndiyo hali halisi ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid Arusha. View attachment 1554386
ee post number 4Weka picha
Mkuu kamwe shetani hawezi kushindana na Mungu akashinda.Ukiangalia anga nalo jeupe peee....hata ndege wamekataa kukatiza.
ya umma itajibu, wacha wajifungie tu mwaka huu hatukuballi ukhanithi, by Maalim!Umeonaeeeeee? Sasa hivi wapo wamejifungia huko dodoma wanatafuta mbinu mbadala
Me ningekuwa apo Arusha ninge wakabidhi card yangu ya Simba waichome moto!Hakika CCM wanacheza ngoma za CHADEMA, wanajaribu kuwahujumu lakini wapi bwana.
Arusha wameleta mpira bure ili mashabiki waende lakini wapi. Tamasha la mziki nalo hoi.
Huko serengeti wamebadilisha matumizi ya uwanja. Tunasubiri CCM wacheze ngoma ya CHADEMA huko Mwanza.
Arusha wamekata umeme, ila smarti zina chaji na majenereta yapo labda wakate networkView attachment 1554387
Maalim namkubali sana na kweli amemaanisha hivyoNguvu
ya umma itajibu, wacha wajifungie tu mwaka huu hatukuballi ukhanithi, by Maalim!
Wanaojiita wazalendo kinafiki,wafungashe virago vyao wazalendo wa kweili wapo saana.Lema afungashefungashe mwenye jimbo lake keshafika Mrisho Gambo.