kidunula1
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 6,299
- 6,321
Sass rasmi simba ni ccm na wanachama wa simba ni mataga
Sass rasmi simba ni ccm na wanachama wa simba ni mataga
Jambo lenyewe ni moja tu......Kwa hiyo Lemma alitaka shughuli zingine zisimame kisa Chadema wanafanya mkutano Arusha? Kila mtu afanye jambo lake
Jambo lenyewe ni moja tu......
TUNDU LISSU
Makesi ya kubumba..!!Kwa sasa wanajitambua ndiyo maana wanamtaka Gambo lema hana issue tena hawasaidii wananchi wake kakalia makesi tu.
Hawa CHADEMA vipi? Mbona siwaelewi elewi! Hizo shughuli za mechi ya mpira na tamasha naamini vilipangwa siku nyingi, imekuwa kama COINCIDENCE tu, labda ukipenda kwa akina Lema, NI BAD COINCIDENCE. Wape watu uhuru wa kuchagua atakaye mpira AENDE, atakaye tamasha AENDE na atakaye kampeni za Lissu AENDE period.Mgombea ubunge jimbo la Arusha Mjini Ndg. Godbless Lema amelalamika kuwa CCM inawahujumu kwa kuandaa mechi ya Simba bila kiingilio na Tamasha la Wasanii bure ili kuhujumu mkutano wa mgombea urais wa CHADEMA Ndg. Tundu Lissu.
Hata hivyo Lema ameapa kuwa leo ndio CCM watajua kwamba CHADEMA ni baba lao Arusha.
Lema amesema haya katika ukurasa wake wa Twitter.
My take: Kwani sehemu anayoenda Lissu ni lazima shughuli zisimame?
Maendeleo hayana vyama!
Mjinga tu flaniUngekuwa sio mpumbavu ungeelewa kilichoandikwa,na umeniita mpumbavu kwasababu ya upumbavu wako.
MsukuleMjinga tu flani
Bora kuliko dondochaMsukule
Endelea kumwabudu Mungu wako sisiemuBora kuliko dondocha
Safi kabisa kuingiza timu kwenye siasa ni upumbavu mkubwa sanaUtadhani wanachezea Arabuni kumfurahisha taycoon
Mooooo anako ipeleka simba Mungu ndiyo anajuaSafi kabisa kuingiza timu kwenye siasa ni upumbavu mkubwa sana
Mhindi ni tapeli sanaMooooo anako ipeleka simba Mungu ndiyo anajua
Wanao umia ni wana simba maana mhindi yeye anajisafishia mambo yakeMhindi ni tapeli sana
Sababu ya ujinga wao wameamua kumpa timu mhindiWanao umia ni wana simba maana mhindi yeye anajisafishia mambo yake
Nikweli Serikali inawahujumu, kila, mwenye akili anafaham. johnthebaptist naomba unipitie ilani ya maCCM niisome.
Jambo lenyewe ni moja tu......Wajumbe tupo. Oct tuna jambo letu. Magufuli Anatosha.
Acha ujinga kabisa nishakataa Mungu wangu kumfananisha na kitu chochote.Endelea kumwabudu Mungu wako sisiemu