Nazgur
JF-Expert Member
- Apr 19, 2020
- 3,730
- 2,850
Kapicha kamanda au picha nayo mpaka viongozi wa edit?Wakuu Salamu toka Arusha na vitongoji vyake.
Uwanja wa Shekh Amri Abeid na tamasha uwanja wa Kilombero hakuna watu ni aibu tupu kama si fedhehea.
Wana Arusha wapo uwanja wa Relini wamejaa tele hakuna nafasi ya kutema mate.Hakuna nafasi ya kujigeuza wala kujinasi ni nyomi ya kutosha na kusikitisha kwa wenye hila na hiyana.
Mkuu wa Wilaya njoo na style nyingine hii imebuma vibaya mno,tamasha tuwekee kesho leo tunasikiliza sera na miongozo ya Mh Lissu mmekata umeme lakini haisaidii asilani.
Watu waliofulika napo hakuna picha mnaogopa nini?