Uko arusha mkuu?.karibu nyama ya tembo huku njiro,Gambo hata asikiki huku kwetu..
hahah Gambo alitumia URC wake kutengeneza maadui kuanzia watumishi wote wa almashauri hadi wananchi wa kawaida.Mrisho Gambo katokea kukubalika sana ARUSHA, katumia fimbo ya uRC kukijenga chama, kudhoofisha upinzani, kusimamia maendeleo ipasavyo ya ARUSHA, kutatua kero mbalimbali za wanaArusha ikiwemo kutoa mikopo kwa wakina mamá na vijana kupitia makusanyo ya Halmashauri ya jiji
Lema amekwishajiandaa kisaikolojia kuachia jimbo maana kambi yake haswa ikiundwa na madiwani na wenyeviti Serikali za mtaa imedhoofishwa vilivyo baada ya wengi wao kuhamia CCM katika lile vuguvugu la kuunga mkono juhudi za Mh Rais na Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi
Kiukweli Gambo kateka hisia za watu, na atachukua jimbo vizuri kabisa,, kijana alijiandaa na amepikika
Kama vile Magufuli anavyoshabikiwa na kikundi cha Wasukuma wa Chato siyo?Lema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.
Hili tukio nililishuhudia LIVE. Ila Lowasa ni shida aisee.Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.
Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.
Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
Walipewa mikopo kwa fedha za umma(Serikali) na siyo za GamboLema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.
hivi nyinyi mmerogwa na nani, unaiongelea Arusha ukiwa wapi?Lema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.
mama alisemekana kaolewa zenjibar hahaaaaa chuga one mpoooooooooHeshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.
Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.
Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
HakikaHii ndio tofauti yetu na wao! Kudos Lema
Naikumbuka sana hii. Wananchi waliokuwa nje walimwambia akatae offer atangazwe au akubali offer asitangazwe na Arusha ahame kabisa.Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.
Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.
Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
Hahahahha mkuu nimecheka sanaAngebebwa na yule mwingine ungeona kilio chake
Lema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.
2015 kuna fala mmoja pale Songea mjini alishinda kwa Kimbunga halafu akauza ushindi matokeo yakapinduliwa.
Yule fala chama kilimfukuza uanachama akahamia Mbogamboga kwenye siasa kapotea sijui bado anayo ile hela aliyohongwa.
Edison Mbogoro alikuwa Makambako.Una maanisha Wakili Edson Mbogoro?
Angebebwa na yule mwingine ungeona kilio chake