Uchaguzi 2020 Godbless Lema anatakiwa kupongezwa kwa kumkaribisha mgombea wa CCM apige kampeni kwenye jukwaa la CHADEMA

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,459
29,152
Kuna Clip imetrend ikimuonesha mgombea wa chama cha CHADEMA akimkaribisha bwana Msofe mgombea wa udiwani kwa tiketi ya CCM apige kampeni katika kikao cha ndani cha chama.

Kama taifa inatakiwa tuwe katika hali hyo na anapaswa sana kupongezwa.

Nchi hii ni yetu sote anapaswa kupongezwa maana siasa sio uadui kama wengine wa CCM wanavyochukulia. Lema ni Mwanasiasa wa kuigwa jaribu kujenga picha ndio mgombea wa Chadema kaomba kupanda jukwaa la CCM ni nini kingetokea.

 
Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.

Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.

Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
 
Inaonekana Lema alienda kwenye mtaa kuonana na wamama ambapo Kiutaratibu ni eneo lililopo chini ya Diwani. Hivyo akaona amkaribishe Diwani ili kuweka hali ya hewa iwe sawa hasa kama alikuwa hajamjulisha. Naona wamama hapo kama 20.
 
I remember that day, ilikuwa patashika lake nje ya ofisi zao, watu walikuwa wengi na hawana dalili ya kuogopa chochote mpaka Lema atangazwe na kweli akatangazwa.

Huyo mama alikuwa akiitwa Batilda Buriani, alikuja kupewa ubalozi wa Kenya, siku hizi sijui amepotelea wapi.
 
Inaonekana Lema alienda kwenye mtaa kuonana na wamama ambapo Kiutaratibu ni eneo lililopo chini ya Diwani. Hivyo akaona amkaribishe Diwani ili kuweka hali ya hewa iwe sawa hasa kama alikuwa hajamjulisha. Naona wamama hapo kama 20...

Mkuu kwa sasa hakuna madiwani, ila Lema na Msofe wana urafiki wao binafsi, na Lema ndiye aliyekuwa nyuma ya Msofe kuwa diwani wa Cdm, kabla pepo mchafu ccm hajauteka ufahamu wa Msofe.
 
Lema Arusha hana chake tena, amebaki kushabikiwa na kikundi cha wachaga wenzake, wanawake wote arusha wanamsapoti mrisho gambo aliewapa mikopo.

Arusha yote haimtaki Mrisho....Akiwa mkuu wa mkoa aliwadhalilisha sana watu... Uzuri ushahidi wa kuwa hafai upo mwingi tu...
Mnaweza kufanya figisu akashinda lakini atakuwa amejipalia moto wa petroli...
Endeleeni kumjaza jaza... Arusha ni patofauti sana!!
 
Inaonekana Lema alienda kwenye mtaa kuonana na wamama ambapo Kiutaratibu ni eneo lililopo chini ya Diwani. Hivyo akaona amkaribishe Diwani ili kuweka hali ya hewa iwe sawa hasa kama alikuwa hajamjulisha. Naona wamama hapo kama 20.
Inaonekana nini?
Andika kitu chenye uhakika.
 
Heshima anayopata Lema akiwa chadema leo ni matokeo ya msimamo alioongozwa na Mh. freeman mbowe mwaka 2010 alipotaka kuuza jimbo la Arusha(wakati akigomea na yule mama simkumbuki jina) Lowassa na CCM kiujumla walimrubuni kumpatia nyumba ya kifahari njiro na pesa nyingi(b) lakini mbowe alitua fasta na helicopter kutokea hai.

Huku ofisi zikiwa zimezingirwa na wananchi wanaoshinikizwa Lema atangazwe kijana akiwa anatetemeka, mbowe akamwambi "angalia kesho yako, maamuzi yako mikononi mwako, chuku hiyo offer, mimi sitakuwa na la kuwaambia hao watu hapo nje, na ikiwezekana, nitasema ukweli" kijana akawaza.

Kisha akaikataa offer ile hatimae akatangazwa watu waliofurika wakarindima kwa shangwe huku lowasa na wapambe wake wakitoka vichwa chini hadi leo hii heshima yake ipo pale pale toka kwa wana Arusha.
2015 kuna fala mmoja pale Songea mjini alishinda kwa Kimbunga halafu akauza ushindi matokeo yakapinduliwa.

Yule fala chama kilimfukuza uanachama akahamia Mbogamboga kwenye siasa kapotea sijui bado anayo ile hela aliyohongwa.
 
Back
Top Bottom