Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,472
- 215,294
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
atavuna anachopandaMillard ayo zamani kabla ya kupigwa mkwara siku hizi mimi huwa hata siangaliagi hicho kitiivi
mkuu habari za jijini ChatoG.lema ujue Yajayo Yanafurahisha ndani ya chadema! Nakushauli ukae kimya na uheshimu kazi zawatu.
atavuna anachopanda
Hopeless kabisa! Anataka amchagulie vitu vya kuonyesha?
Kwahiyo walichofanya polisi Wa Kenya kimeripotiwa na Millard ni kuichafua Kenya Ila angeripoti ya Tanzania haichafui Tanzania bali amfurahisha lema vile abalanshisha stories?Double standard ndo anacholalamikia Mhe.Lema pia huna haja ya kutumia lugha za kuudhi kutoa hoja zako haikazii hoja inaweza ikakimbiza wasomaji wengine halafu kubalance stori wakenya wakiruka nae kwa kusambaza habari za kuichafua kenya wakati hayo ya polisi aggression (Excessive Force) hata huku kwetu yapo sio ishu ya yeye millard kushikia bango utawatetea wakenya ama la!
shetani hana rafikiAnavunàje wakati anao Uhuru Wa kutoa habari anazoona zinafaa?
Uchochezi na udikteta huo sasa unaulazimisha.
Kwanini Lema asianzishe chombo chake cha habri au cha chama ili kitoe habari anazotaka zitoke badala ya kumamrisha Millard afanye matakwa ya mtizamo wake?
shetani hana rafiki
Dude!.Polisi huwajui wewe utakuja kukutana na mikiki yao utamkumbuka Mhe.Lema inawezekana Mhe.Lema yupo kisiasa zaidi lakini soma katikati ya maneno yake utagundua tabia za polisi tanzania,kenya,uganda and most of african countries hawaheshimu kabisa haki za raia uje kuzushiwa jambo ukamatwe na polisi hadi umefikishwa mahakamani ndo utajua millard ayo alipaswa kuwamulika!Kwahiyo walichofanya polisi Wa Kenya kimeripotiwa na Millard ni kuichafua Kenya Ila angeripoti ya Tanzania haichafui Tanzania bali amfurahisha lema vile abalanshisha stories? Yoyote mwenye access na habari apaswa kuripoti tu pia vyombo vya habari viko mob si lazima Millard, muacheni na Uhuru wake kikubwa habari za kweli nanyi mripoti za polisi Tanzania waliowatandika bakora watanzania walokaidi amri ya kujikinga na korona.
Unauliza:Wala hata watazamaji hatuangaiki na mafanikio ya muanzilishi wa online tv ila kinachosikitisha ni kuwa double standard- kitu ambacho kikikomaa ni rahisi sana kushuka chini kwa hicho chombo Cha habari. Unajuaje huo umaarufu wa Ayo tv labda umetokana na namna mwanzo habari zake alikuwa hana upendeleo wa habari lakini kwa sasa ameanza kupendelea baadhi ya habari na nyingine kuona hazina umuhim either kwa kuogopa mamlaka au vinginevyo! Ni kazi sana kutengeneza brand ya kitu lakini ni rahisi sana kukishusha na kikadharauliwa hasa ukijisahau kidogo tu na kujiona umeshafika kileleni
Hapa tayari umeshapanic.Chombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!
Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!
Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!
Kulazimisha mambo fulani kwa matakwa yako ni udikteta!
This is one of the best idiotic post of the centuryChombo cha habari akianzishe Millard Ayo, mafanikio yapatikane halafu wajinga fulani waanze kumpangia jinsi ya kufanya kazi zake!
Wakati anaanzisha chombo hakuenda kumuomba Lema ushauri halafu baada ya kufanikiwa eti ndio wajinga fulani wanaanza kutoa ushauri!
Kama Lema anadhani Millard Ayo hatangazi yale ambayo yeye anadhani yanafaa yatangazwe basi Lema aanzishe chombo chake cha habari! It's just simple!
Kulazimisha mambo fulani kwa matakwa yako ni udikteta!