Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,558
- 217,854
Mh Lema ambaye pia ndiye Waziri Kivuli wa Wizara ya Mambo ya ndani ya nchi , ametoa hoja hiyo kabambe alipokuwa akichangia bungeni , ambapo amedai kwamba baadhi ya watu wanakomolewa kwa kisingizio cha upelelezi kutokamilika .
Ametoa mfano wa Mkurugenzi mmoja wa shirika la serikali aliyewekwa ndani muda mrefu kwa tuhuma za ufisadi huku akisubiri upelelezi ukamilike , lakini baadaye akafutiwa mashitaka na DPP na kisha Kurejeshwa kazini .
Amewashangaa wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa waliojivika Uungu Mtu kwa kuamuru watu kukamatwa watakavyo kiasi cha kudharau hata maelekezo ya Waziri Mkuu , hii ni miongoni mwa hotuba kali sana za Mh Lema alizowahi kuzitoa kwenye Bunge la Tanzania ( naitafuta video yake ili mupate uhondo kamili )
#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona
Ametoa mfano wa Mkurugenzi mmoja wa shirika la serikali aliyewekwa ndani muda mrefu kwa tuhuma za ufisadi huku akisubiri upelelezi ukamilike , lakini baadaye akafutiwa mashitaka na DPP na kisha Kurejeshwa kazini .
Amewashangaa wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa waliojivika Uungu Mtu kwa kuamuru watu kukamatwa watakavyo kiasi cha kudharau hata maelekezo ya Waziri Mkuu , hii ni miongoni mwa hotuba kali sana za Mh Lema alizowahi kuzitoa kwenye Bunge la Tanzania ( naitafuta video yake ili mupate uhondo kamili )
#Tuendelee kunawa mikono ili kujikinga na virusi vya Corona