Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Habari iliyonifikia Mdaa Huu Kutokea Dodoma zinasema Mh GODBLESS J LEMA (MB) wa Jimbo la Arusha Mjini amekamatwa muda huu nje ya ukumbi wa Bunge na Jeshi la Police tayari kurudishwa Arusha usiku huu.
Haijafahamika Mpaka sasa hivi kisa cha kukamatwa
Haijafahamika Mpaka sasa hivi kisa cha kukamatwa