Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Umekuwa ukishawishi watu wa Arusha kujiandikisha kupiga kura kwa mikutano na matangazo kiasi cha kufikia gari la matangazo kukamatwa.
Umejiuliza kwa nini watu wamegoma kujiandikisha uchaguzi serikali za mitaa?
Maagizo ni kuwa asitangazwe mpinzani kuwa mwenyekiti wa mtaa au kijiji hata kama kashinda, sasa wewe unawatengenezea CCM wapigakura ili kuwafanikisha?
Hebu acha, ya ngoswe muachie ngoswe ngoja wapiga kura iwe 20% na CCM washinde 100% wenyeviti wote na Magufuli afurahi kama alivyo agiza.
Umejiuliza kwa nini watu wamegoma kujiandikisha uchaguzi serikali za mitaa?
Maagizo ni kuwa asitangazwe mpinzani kuwa mwenyekiti wa mtaa au kijiji hata kama kashinda, sasa wewe unawatengenezea CCM wapigakura ili kuwafanikisha?
Hebu acha, ya ngoswe muachie ngoswe ngoja wapiga kura iwe 20% na CCM washinde 100% wenyeviti wote na Magufuli afurahi kama alivyo agiza.