Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,708
- 22,029
Hivi ni kweli hii chadema ninayoijua au watu wanaongeza mambo tu. Mbona ni ujuha wa hali juu namna hii wanahangaika nao.
Mambo kibao ya maana ya kushuulika nayo wamewaacha wale covid 19, katiba mpya, makamanda kibao wapo vifungoni huko, hawapazi sauti kama hii kampeni yao ya kumshusha diamond ambayo najua 100% hawataweza kabisa.
Nilikua namkubali sana lema ila kwa hili jamaa nimemtoa kwa watu makini aisee. Ni juha mmojawapo nae.
Mambo kibao ya maana ya kushuulika nayo wamewaacha wale covid 19, katiba mpya, makamanda kibao wapo vifungoni huko, hawapazi sauti kama hii kampeni yao ya kumshusha diamond ambayo najua 100% hawataweza kabisa.
Nilikua namkubali sana lema ila kwa hili jamaa nimemtoa kwa watu makini aisee. Ni juha mmojawapo nae.