Godbless Jonathan Lema

Aventus

JF-Expert Member
Mar 8, 2013
1,914
1,976
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 67;- (1) (a) - (c) Sifa za mtu kuwa Mbunge Sheria ya 1984 Na.15 ib.13 na sheria nyingine za mwaka 1992, 1994, 1995 na 2000 ambazo pia zimefafanuliwa katika ibara ya 67;- (2) (a) - (h) na pia pamoja na masharti ya ibara ya 71;- (1) (a) - (g) zinasema;

67;- (2)(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu;

Hivyo; Bado Godbless Jonathan Lema ni mahabusu, anatuhumiwa.., siyo mfungwa (hakuna mahakama yoyote ambayo imemtia katika hatia).., Jamhuri kupitia mawakili wake inafahamu/wanafahamu kabisa kwamba, kwenye kesi inayomkabili Lema, hakuna Shauri la msingi, na kama kesi ikianza kusikilizwa mfululizo, jamhuri itaangukia pua mapema kabisa, hakuna kesi pale.., na ndiyo maana jamhuri inatumia loop of law-technicalities kumzungusha kwenye dhamana yake ya msingi...,

..., nimefikiri na kuandika hivyo.., ingawa, watu hawa hawashindwi kufanya watakavyo kuhusu jambo hili.., wanaweza kumtia Lema hatiani (kwa lazima) ili tu Lema asirejee kuwa mbunge wa Arusha mjini.., maana huyu ni 'kikwazo kwao'.., sioni namna CCM wakipata jimbo la Arusha mjini hata kama wakisimamisha mwenyekiti wao wa taifa katika jimbo hilo kuwa mgombea..,

NB; Kwa upande wa CCM.., wako radhi yoyote kutoka chama chochote awe mbunge wa Arusha mjini.., lakini siyo Lema.., i can assure you.., hawampendi Lema from the deepest part of their heart!
Ngoja nipate bia mbili ingawa hali ya mfuko sio nzuri nipate akil ya kurud tena


Martin Maranja Masese (MMM)
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 67;- (1) (a) - (c) Sifa za mtu kuwa Mbunge Sheria ya 1984 Na.15 ib.13 na sheria nyingine za mwaka 1992, 1994, 1995 na 2000 ambazo pia zimefafanuliwa katika ibara ya 67;- (2) (a) - (h) na pia pamoja na masharti ya ibara ya 71;- (1) (a) - (g) zinasema;

67;- (2)(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu;

Hivyo; Bado Godbless Jonathan Lema ni mahabusu, anatuhumiwa.., siyo mfungwa (hakuna mahakama yoyote ambayo imemtia katika hatia).., Jamhuri kupitia mawakili wake inafahamu/wanafahamu kabisa kwamba, kwenye kesi inayomkabili Lema, hakuna Shauri la msingi, na kama kesi ikianza kusikilizwa mfululizo, jamhuri itaangukia pua mapema kabisa, hakuna kesi pale.., na ndiyo maana jamhuri inatumia loop of law-technicalities kumzungusha kwenye dhamana yake ya msingi...,

..., nimefikiri na kuandika hivyo.., ingawa, watu hawa hawashindwi kufanya watakavyo kuhusu jambo hili.., wanaweza kumtia Lema hatiani (kwa lazima) ili tu Lema asirejee kuwa mbunge wa Arusha mjini.., maana huyu ni 'kikwazo kwao'.., sioni namna CCM wakipata jimbo la Arusha mjini hata kama wakisimamisha mwenyekiti wao wa taifa katika jimbo hilo kuwa mgombea..,

NB; Kwa upande wa CCM.., wako radhi yoyote kutoka chama chochote awe mbunge wa Arusha mjini.., lakini siyo Lema.., i can assure you.., hawampendi Lema from the deepest part of their heart!
Ngoja nipate bia mbili ingawa hali ya mfuko sio nzuri nipate akil ya kurud tena


Martin Maranja Masese (MMM)

Kwa nini sasa mawakili wa Lema wanasumbuana kwenye dhamana? Kwa nini wasingemuacha ndani ili kesi ya msingi isikilizwe mapema??
 
Kwa nini sasa mawakili wa Lema wanasumbuana kwenye dhamana? Kwa nini wasingemuacha ndani ili kesi ya msingi isikilizwe mapema??
Wazo lako ni zuri na naliunga mkono. Embu ngoja kwanza, hivi hiyo kesi ya msingi ikichukua mwaka au miaka huyo mheshimiwa si atakuwa mahabusu kipindi chote hicho!!! Nazani ndio hivyo ni bora wahangaikie zamana. Assumption kama zamana ni miezi 3 kesi ni miezi...
 
Wanachofanya mda huu nikama kumfunga kifungo kifupi cha miez 2, wakianza kusikiliza kesi ya msingi utaona watavyopwaya sababu hawana shida nayo sasa
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 67;- (1) (a) - (c) Sifa za mtu kuwa Mbunge Sheria ya 1984 Na.15 ib.13 na sheria nyingine za mwaka 1992, 1994, 1995 na 2000 ambazo pia zimefafanuliwa katika ibara ya 67;- (2) (a) - (h) na pia pamoja na masharti ya ibara ya 71;- (1) (a) - (g) zinasema;

67;- (2)(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu;

Hivyo; Bado Godbless Jonathan Lema ni mahabusu, anatuhumiwa.., siyo mfungwa (hakuna mahakama yoyote ambayo imemtia katika hatia).., Jamhuri kupitia mawakili wake inafahamu/wanafahamu kabisa kwamba, kwenye kesi inayomkabili Lema, hakuna Shauri la msingi, na kama kesi ikianza kusikilizwa mfululizo, jamhuri itaangukia pua mapema kabisa, hakuna kesi pale.., na ndiyo maana jamhuri inatumia loop of law-technicalities kumzungusha kwenye dhamana yake ya msingi...,

..., nimefikiri na kuandika hivyo.., ingawa, watu hawa hawashindwi kufanya watakavyo kuhusu jambo hili.., wanaweza kumtia Lema hatiani (kwa lazima) ili tu Lema asirejee kuwa mbunge wa Arusha mjini.., maana huyu ni 'kikwazo kwao'.., sioni namna CCM wakipata jimbo la Arusha mjini hata kama wakisimamisha mwenyekiti wao wa taifa katika jimbo hilo kuwa mgombea..,

NB; Kwa upande wa CCM.., wako radhi yoyote kutoka chama chochote awe mbunge wa Arusha mjini.., lakini siyo Lema.., i can assure you.., hawampendi Lema from the deepest part of their heart!
Ngoja nipate bia mbili ingawa hali ya mfuko sio nzuri nipate akil ya kurud tena


Martin Maranja Masese (MMM)
Kwani kuna mtu kasema Lema amepoteza sifa za ubunge?
Maana umeanza kukariri vifungu vya katiba from no where!
Unachokiwaza wewe ndiyo anachokiwaza Lema na inawezekana ukawa ndiye Lema mwenyewe.
Kibri na ubinafsi umekutesa sana hadi umegeuka mnyonge. Tukana matusi upendavyo,bila kujali unayemtukana ana haiba gani katika jamii. Wewe ndiye wewe,si ndiyo?
Ulijisadikisha kwamba ukihiyo wako wa sheria, utakusaidia sana kuzishika na kuzichezea ndevu za simba dume bila madhara yoyote kukutokea.
Ukaweka mawakili uliowaona mahiri, sasa kiko wapi?
Ni mawakili mbumbumbu kiasigani wakashindwa kuelewa kifungu cha sheria ya dhamana na ukaanza kula shubiri kabla ya kesi yenyewe?
Wamekusaliti ama ni mamluki wa serikali?
Pia katika mawazo yako ukajisadikisha ushindi wa kesi.
Kwamba pindi watakapotaka kukukaba kisheria, utawakwamisha na swali moja tu la kitoto, kuwauliza kuwa wanakuthibitishiaje hayo uliyoropoka yaliwalenga wao? Tena muda huo wanaohangaika kuuliza maswali yasiyo kichwa na miguu ni mawakili, wakati wewe unasoma gazeti umepumzika.
Sasa umekwama kwenye tope jingi. Unapotapatapa kujinasua, unasaidia kujizamisha
Umeona ng'ombe alivyomgeukia mchungaji wake?
Utakuja kurudia kutukana na kujivika unajimu wa kutabiri vifo vya wenzio wakati vya kwako hapana?
Sheria ni kama mchezo wa drafti unaweza kufunga ama kufungwa huku ukiwa umeshikilia kete zako mkononi, si ya kutegemea sana, bali matendo mema ndiyo yatakayokuweka mahali salama.
Kwa kadhia hii, nyea debe mheshimiwa, ili utakapotoka Kisongo, utakuwa mwanasiasa mzuri mwenye haiba ya kiongozi mwadilifu, ili sisi raia tujifunze na kuiga toka kwako, mawazo yako na matendo yako.
Hakuna raia anayeunga mkono siasa za maji taka. Tunataka siasa za maendeleo.
Wanaokuunga mkono kwa mambo hayo, wanamushikeri.
Ukiwauliza nini wanachokuungia mkono?
Sanasana utakachokutana nacho katika majibu yao ni masuala ya ukabila na ukanda, hakuna chochote kingine cha maana.
 
Kwani nani kasema Lema anakosa nafasi ya kuwa mbunge?

Bavicha mbona mna mawenge hivi? Tulieni basi

Sote tunajua hajatiwa hatiani.! Sasa sijui umekula vijiti ukaanza kuqoute vifungu vya katiba?

Hebu mwambie waiter akuongeze bia mbili tena...
 
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 67;- (1) (a) - (c) Sifa za mtu kuwa Mbunge Sheria ya 1984 Na.15 ib.13 na sheria nyingine za mwaka 1992, 1994, 1995 na 2000 ambazo pia zimefafanuliwa katika ibara ya 67;- (2) (a) - (h) na pia pamoja na masharti ya ibara ya 71;- (1) (a) - (g) zinasema;

67;- (2)(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu;

Hivyo; Bado Godbless Jonathan Lema ni mahabusu, anatuhumiwa.., siyo mfungwa (hakuna mahakama yoyote ambayo imemtia katika hatia).., Jamhuri kupitia mawakili wake inafahamu/wanafahamu kabisa kwamba, kwenye kesi inayomkabili Lema, hakuna Shauri la msingi, na kama kesi ikianza kusikilizwa mfululizo, jamhuri itaangukia pua mapema kabisa, hakuna kesi pale.., na ndiyo maana jamhuri inatumia loop of law-technicalities kumzungusha kwenye dhamana yake ya msingi...,

..., nimefikiri na kuandika hivyo.., ingawa, watu hawa hawashindwi kufanya watakavyo kuhusu jambo hili.., wanaweza kumtia Lema hatiani (kwa lazima) ili tu Lema asirejee kuwa mbunge wa Arusha mjini.., maana huyu ni 'kikwazo kwao'.., sioni namna CCM wakipata jimbo la Arusha mjini hata kama wakisimamisha mwenyekiti wao wa taifa katika jimbo hilo kuwa mgombea..,

NB; Kwa upande wa CCM.., wako radhi yoyote kutoka chama chochote awe mbunge wa Arusha mjini.., lakini siyo Lema.., i can assure you.., hawampendi Lema from the deepest part of their heart!
Ngoja nipate bia mbili ingawa hali ya mfuko sio nzuri nipate akil ya kurud tena


Martin Maranja Masese (MMM)
Nani amesema Lema anapoteza ubunge kwa kukaa mahabusu?
Wambie mawakili wake waache kuhangaikia dhamana wasubiri case ya msingi ianze wasiogope yeye kukaa mahabusu maana walioko mahabusu nao ni watu.......
 
Kwani kuna mtu kasema Lema amepoteza sifa za ubunge?
Maana umeanza kukariri vifungu vya katiba from no where!
Unachokiwaza wewe ndiyo anachokiwaza Lema na inawezekana ukawa ndiye Lema mwenyewe.
Kibri na ubinafsi umekutesa sana hadi umegeuka mnyonge. Tukana matusi upendavyo,bila kujali unayemtukana ana haiba gani katika jamii. Wewe ndiye wewe,si ndiyo?
Ulijisadikisha kwamba ukihiyo wako wa sheria, utakusaidia sana kuzishika na kuzichezea ndevu za simba dume bila madhara yoyote kukutokea.
Ukaweka mawakili uliowaona mahiri, sasa kiko wapi?
Ni mawakili mbumbumbu kiasigani wakashindwa kuelewa kifungu cha sheria ya dhamana na ukaanza kula shubiri kabla ya kesi yenyewe?
Wamekusaliti ama ni mamluki wa serikali?
Pia katika mawazo yako ukajisadikisha ushindi wa kesi.
Kwamba pindi watakapotaka kukukaba kisheria, utawakwamisha na swali moja tu la kitoto, kuwauliza kuwa wanakuthibitishiaje hayo uliyoropoka yaliwalenga wao? Tena muda huo wanaohangaika kuuliza maswali yasiyo kichwa na miguu ni mawakili, wakati wewe unasoma gazeti umepumzika.
Sasa umekwama kwenye tope jingi. Unapotapatapa kujinasua, unasaidia kujizamisha
Umeona ng'ombe alivyomgeukia mchungaji wake?
Utakuja kurudia kutukana na kujivika unajimu wa kutabiri vifo vya wenzio wakati vya kwako hapana?
Sheria ni kama mchezo wa drafti unaweza kufunga ama kufungwa huku ukiwa umeshikilia kete zako mkononi, si ya kutegemea sana, bali matendo mema ndiyo yatakayokuweka mahali salama.
Kwa kadhia hii, nyea debe mheshimiwa, ili utakapotoka Kisongo, utakuwa mwanasiasa mzuri mwenye haiba ya kiongozi mwadilifu, ili sisi raia tujifunze na kuiga toka kwako, mawazo yako na matendo yako.
Hakuna raia anayeunga mkono siasa za maji taka. Tunataka siasa za maendeleo.
Wanaokuunga mkono kwa mambo hayo, wanamushikeri.
Ukiwauliza nini wanachokuungia mkono?
Sanasana utakachokutana nacho katika majibu yao ni masuala ya ukabila na ukanda, hakuna chochote kingine cha maana.
Hili povu sasa!!!!
Ni lini hiki kizazi kitaacha ushabiki?
Long live fisiem
 
Kwa nini sasa mawakili wa Lema wanasumbuana kwenye dhamana? Kwa nini wasingemuacha ndani ili kesi ya msingi isikilizwe mapema??

hahhahaa...mzee kesi inaweza ikatajwa leo alafu next date ikawa mwezi wa kumi 2017....alafu tarehe nyingine ikawa May 2018

Ndio maana mawakili wanakomaa na dhamana
 
CCM Kushinda Arusha haiwezekani LABDA wafanye kama ZANZIBAR ... ILA Arusha si Mdebwedo ...
Katiba ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ibara ya 67;- (1) (a) - (c) Sifa za mtu kuwa Mbunge Sheria ya 1984 Na.15 ib.13 na sheria nyingine za mwaka 1992, 1994, 1995 na 2000 ambazo pia zimefafanuliwa katika ibara ya 67;- (2) (a) - (h) na pia pamoja na masharti ya ibara ya 71;- (1) (a) - (g) zinasema;

67;- (2)(c) ikiwa mtu huyo amehukumiwa na Mahakama yoyote katika Jamhuri ya Muungano na kupewa adhabu ya kifo au ya kufungwa gerezani kwa muda unaozidi miezi sita kwa kukutwa na hatia ya kosa lolote, vyovyote linavyoitwa, linaloambatana na utovu wa uaminifu;

Hivyo; Bado Godbless Jonathan Lema ni mahabusu, anatuhumiwa.., siyo mfungwa (hakuna mahakama yoyote ambayo imemtia katika hatia).., Jamhuri kupitia mawakili wake inafahamu/wanafahamu kabisa kwamba, kwenye kesi inayomkabili Lema, hakuna Shauri la msingi, na kama kesi ikianza kusikilizwa mfululizo, jamhuri itaangukia pua mapema kabisa, hakuna kesi pale.., na ndiyo maana jamhuri inatumia loop of law-technicalities kumzungusha kwenye dhamana yake ya msingi...,

..., nimefikiri na kuandika hivyo.., ingawa, watu hawa hawashindwi kufanya watakavyo kuhusu jambo hili.., wanaweza kumtia Lema hatiani (kwa lazima) ili tu Lema asirejee kuwa mbunge wa Arusha mjini.., maana huyu ni 'kikwazo kwao'.., sioni namna CCM wakipata jimbo la Arusha mjini hata kama wakisimamisha mwenyekiti wao wa taifa katika jimbo hilo kuwa mgombea..,

NB; Kwa upande wa CCM.., wako radhi yoyote kutoka chama chochote awe mbunge wa Arusha mjini.., lakini siyo Lema.., i can assure you.., hawampendi Lema from the deepest part of their heart!
Ngoja nipate bia mbili ingawa hali ya mfuko sio nzuri nipate akil ya kurud tena


Martin Maranja Masese (MMM)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom