Francis12
JF-Expert Member
- Sep 30, 2016
- 7,533
- 22,276
Mbunge wa Jimbo la Arusha Mjini, Godbless Jonathan Lema , anastahili kutendewa haki , anastahili pongezi, anastahili kuungwa mkono kwa njia zote ili aweze kupata haki yake.
Amefuata nyayo za mashujaa mbalimbali waliowahi kutokea Duniani, yawezekana leo tusimuelewe lakini hakika ataeleweka tu.
Watesi wake wanaohangaika na ndoto wanakosea sana kwani katika mafundisho ya dini ya kikristo Suala la Vijana kuota ndoto ni la Kiimani sana. Hivi angeota uchumi wa viwanda utafikiwa 2019 angelikuwa mahabusu?
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
Amefuata nyayo za mashujaa mbalimbali waliowahi kutokea Duniani, yawezekana leo tusimuelewe lakini hakika ataeleweka tu.
Watesi wake wanaohangaika na ndoto wanakosea sana kwani katika mafundisho ya dini ya kikristo Suala la Vijana kuota ndoto ni la Kiimani sana. Hivi angeota uchumi wa viwanda utafikiwa 2019 angelikuwa mahabusu?
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]