fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,022
- 5,000
kunguni,funza,ma-nzi ya kijani ,govi nk nipe sababu ya kuwepo kwakeSababu ni ndogo tu.
Majibu yake yote anategemea Google
Sasa kuna maswali nyeti ukiuliza Google unapewa Majibu mengi mno yenye hitilafu.
Na kila jibu linatofautiana na lingine
.
Mfano KIFO.
Google imetoa majibu zaidi ya 200 kuhusu NINI KIFO. na kila moja ni Tofauti na lingine.
Huo ni mfano mmoja tu. Sasa kiranga akikutana na swali kama hilo lzm ajifanye hakuona au aongee kashfa na kukwepa swali.
Labda muulize wewe huenda akakujibu.
Labda kifo ni swali Gumu sana. Labda nijaribu jepesi kidogo.
Muulize .
Kila kitu hapa Duniani kina SABABU YA KUWEPO. Mfano.
Jamii forum iko hapa KWA SABABU MAALUM.
Hio PC au Mobile phone tunazotumia hapa zina SABABU YA KUWEPO.
Hata Hizo kalamu madaftari Mchele Gari hata toilet paper ZINA SABABU MAALUM YA KUWEPO HAPA.
Muulize JE! BINAADAMU ANA SABABU GANI MAALUM YA KUWEPO HAPA DUNIANI?
Je ni kula kuzaana kisha kufa?
Au kujenga uchumi wa viwanda kama muheshimiwa anavyosema?
Au kukutana hapa JF kubishana habari Za Mungu?
KWANINI BINAADAMU YUKO HAPA DUNIANI?
Niulizie hill swali kwa Yyt asiekubali MUNGU kuwa YUPO.