God was created when the first con-man met the first fool

Psalm 14 King James Version (KJV)
14 The fool hath said in his heart, There is no God.

The fools are the ones whom can not think for themselves, wanasubiria wapewe dogmas kama marobot

KJV...huyu jamaa kwanza alikua shoga siwezi fuata kitabu cha "king james version" who is he..? what authority over me/us aliyonayo kunichagulia mm nini chakufuata..

Fungua akili ww mwafrika acha utumwa wa fikra za hawa Authorised KJV...matatizo yenu mtakua nayo tuu atamkimuomba vipi huyu mzungu wenu tapeli..
 
Unaelewa nini kuhusu kuamini?
wanasayans wakubwa kama sir isac newotn wakin plancks wanaamini kuna Mungu ..sasa kuna walevi wametoka wapi sijui et wana pinga.... ngoja nikuulize swali unaamini yesu aliishi hapa duniani??/
 
Kifo ni hali ya kitu kilichokua hai kushindwa kuhimili mazingira kilichopo kwa wakati huo.

Pia, hakuna kitu kinaitwa roho. Hayo ni mafunzo ya kwenye imani za kidini zinazoendana na kuamini.


Kukwepa maswali yanayo onyesha udhaifu wa hoja zako ni kawaida yako.
Jibu swali we kiranga.
Umeulizwa unaamini Wanga wapo?
Unafahamu wazi kabisa kuwa wanga ni jamii ya WACHAWI sasa acha utoto .

Na mimi nakuongezea .

Kifo ni nini? Au Roho ni nini.
Na kwanini LAZIMA viumbe WAFE ?
Na ukiambiwa mtu KAFA kifo cha kawaida(Natural Death) nini hasa kilichokufa hapo?
Jibu maswali km wewe ni Atheist anaejitambua.
 
The fools are the ones whom can not think for themselves, wanasubiria wapewe dogmas kama marobot

KJV...huyu jamaa kwanza alikua shoga siwezi fuata kitabu cha "king james version" who is he..? what authority over me/us aliyonayo kunichagulia mm nini chakufuata..

Fungua akili ww mwafrika acha utumwa wa fikra za hawa Authorised KJV...matatizo yenu mtakua nayo tuu atamkimuomba vipi huyu mzungu wenu tapeli..

There you go. Umeshindwa hata kujua kuwa King James hakuandika hiyo version ya Bible. Secondly; hujui kuwa kuna vitabu historical (Non-Christian) ambavyo vina-corroborate exactly what is written in the Bible. Do you know the only community (you may call it a race) ambayo haijapoteza its identity for the past 3,000 years? And why all the rest has changed but not them? Can you explain that? I am pleased kuwa nilishafunguka akili siku nyingi sana, NA SIMFUATI MZUNGU for your information.

I agree there is someone who doesn't think and search for knowledge between the two us; and that someone IS NOT ME.
 
Hao hapo Einstein Newton wako...
Bullshit tupu, nyie wafia Dini sijui hizo quote mnazotunga mnafikiri mtamdanganya kila mtu?

Yaani kwa mtu yoyote anayewaza rationally tu, achilia mbali wanasayansi, anajua kabisa Bible, Quran ni siasa tu za zamani za watu,
 
Kifo ni hali ya kitu kilichokua hai kushindwa kuhimili mazingira kilichopo kwa wakati huo.

Pia, hakuna kitu kinaitwa roho. Hayo ni mafunzo ya kwenye imani za kidini zinazoendana na kuamini.
Teh teh te.
Hii tafsiri mpya ya kifo itabidi na yenyewe iingizwe kwenye Guiness book of records
Manake sijawahi kuisikia.

Sasa kinachokufa ni kipi ktk mwili wa hicho kiumbe hai? Moyo, figo, bandama, firigisi au mapafu?
 
Wewe neno mungu unalielewaje au huyo mungu wenu hewa wa mawinguni mnaimagine anafananaje..

Au wachungaji wenu matapeli wamewafundishaje juu ya huyo mungu wenu anaeenda kutukuzwa bila hivyo anawachoma na moto wakusadikika..
Sasa hapo kuna swali au hoja umejenga au basi tu umeamua kutokwa na mapovu sababu JF haina kiingilio
 
The belief that God sacrificed God to God to save God's creation from God.

Huitaji kutumia nguvu kubwa sana kama akili yako inaupeo wa kufikiri japo surface thinking..

Wengi wenu humu mmelishwa dogmas na mmeishia na imagination kila mtu na zake juu yuu ya mungu anafananaje/yukoje na yupo wapi..

Niishie kusema belief has no place where the truth is concerned, and the truth God is just an illusion in Your imaginations
So, what is the origin of everything we see, touch, taste, hear, smell (with our naked eyes and gadgets).
 
Anaeamua kipi kibaya na kipi kizuri ni nani?
Wewe au Nani.
Matsunani na matetemeko yana amuliwa na nani?

Pharmaceutical companies wanatamani magonjwa yaongezeke wapate kuuza dawa.
Na hospital binafsi zinatamani wagonjwa waongezeke ili biashara iwe nzuri.
Kwaiyo kwa matakwa yao ya watu wachache kunaondoaje dhana ya mabaya ambayo yanawakumba watu wengi eti kisa tu wao wanatamani wagonjwa waongezeke??

Unaweza kumuacha muuaji aliyeteketeza familia yako unayoipenda kwasababu alitamani misiba iwe mingi ili apate sehemu ya kula?

Kama wanatamani wagonjwa waongezeke ili wapate kuuza dawa mbona kuna dawa zinatolewa bure? Huoni hapa nia yao si tu kuuza dawa bali ni kusaidia kupunguza magonjwa ambayo hata wao hawapendi yawakumbe raia??

Mashirika na watu binafsi yanayoshughulikia Habari za VIFO na Mazishi na wao wanatamani Vifo viongezeke wafanye Biashara.

Hao watu wanaoendesha hayo mashirika nao wanatamani wote wafe?

Tsunami na matetemeko yanafaidisha wengi mno tofauti kabisa na wewe unavyoelewa.
Hujaelezea ni kwa namna gani yanafaidisha, na hata ukielezea haitaondoa ubaya wake na ndio maana hakuna mtu anatamani kua mhanga wa tsunami na matetemeko
Watengeneza Silaha wanatamani vita visiishe ili wauze Silaha.
Kwani hao watengeneza silaha wao wanatamani wafe waache kazi yao pendwa ya kutengeneza silaha ili wauze??

Sasa nani mwenye kuamua kipi kizuri ktk Hii Dunia ? Na nani apewe hicho anachotaka?
swali la "nani" halitakua na mantiki kwenye mabaya yanayoletwa na tetemeko pamoja na tsunami
Au hujasikia msemo usemao "kwako kilio kwangu sherehe?

pia kuna msemo usemao "leo kwangu kesho kwako" anefurahia kilio cha mtu siku naye atakuja kufiwa atapata machungu kama aliyopata mwenzake. Msemo huu unamaanisha kilio ni jambo baya na sio jambo la kufurahia pindi linapomkuta mwengine
Kazi ya kipi kizuri kwetu na kipi kibaya ni KAZI YA MUNGU.
Kama mabaya ni kazi ya mungu sasa kwanini mseme shetani ndiye chanzo?
Wewe funga mkanda ujiandae tu chochote utakachopangiwa.
Hata kwenda haja kubwa wewe huna hiari kweli utaweza kujua kipi kibaya au kizuri kwako?
Haja kubwa nayo ni imperfection kuonesha sijaumbwa na mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
 
Bullshit tupu, nyie wafia Dini sijui hizo quote mnazotunga mnafikiri mtamdanganya kila mtu?

Yaani kwa mtu yoyote anayewaza rationally tu, achilia mbali wanasayansi, anajua kabisa Bible, Quran ni siasa tu za zamani za watu,

.Nani katunga quote? Nenda kasearch, uthibitishe!

Sikiliza, umesema Bible na Quran ni SIASA za zamani?

Hebu nipe tafsiri ya neno SIASA!

Alafu hatujuani, kaa ukijua hilo, so acha kunibwatukia, unajuaje kama na Mimi ni mwanasayansi?

Pia, umewahi kujiuliza kwanini katika kada zote Wanasayansi ndio wako kifua mbele kusema hakuna Mungu? Umejiuliza? Na ukapata jibu?

Tumia akili zako vizuri asee, kama wewe ni Atheist sio lazima uje huku JF kupoteza watu humu, kuna vijana wadogo wanapita humu.

Na nyie ndio walewale mnaunga mkono Ushoga na uchafu unaofanana nao.
 
Ukweli ni kwamba mungu muweza wa yote na mjuzi wa yote mwenye uwezo wote aliyeumba huu ulimwengu ambao una mabaya ya kila aina hayupo, angekuwepo kusingekua na mabaya wala kutilia shaka juu ya uwepo wake
Siku zote jambo lolote la imani huwa na wenye kuliamini na wasioamini,na suala la Mungu ni la imani hivyo lazima watakuwepo tu wenye kuamini na wasioamini.
Sasa ukisema hakuna Mungu kisa kuna watu wana mashaka juu ya uwepo wa Mungu utakuwa unaongea usivyovielewa.
 
Wewe umezaliwa..
Gari ndilo limetegenezwa. haya maswali mengine niya watoto wenu kuuliza..

Kibiologia wewe ni matokeo ya mbegu ya baba yako na yai la mama yako.mbona jepesi
Acha kujitoa ufaham, angali unaelewa nature ya swali.
 
Siku zote jambo lolote la imani huwa na wenye kuliamini na wasioamini,na suala la Mungu ni la imani hivyo lazima watakuwepo tu wenye kuamini na wasioamini.
Sasa ukisema hakuna Mungu kisa kuna watu wana mashaka juu ya uwepo wa Mungu utakuwa unaongea usivyovielewa.
Umeandika nini hapo

Kwamba kipara ni rangi ya nywele?
 
Back
Top Bottom