kahtaan
JF-Expert Member
- Jul 11, 2009
- 18,664
- 11,232
Waziri wako wa afya anakataza zinaa humsikii.Uzinifu ni mbaya?
Kama ni jambo baya Mbona mungu wenu hajazuia?
Wazazi wako wanakukataza zinaa husikii
Utamsikiliza Mungu usiemuona?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wako wa afya anakataza zinaa humsikii.Uzinifu ni mbaya?
Kama ni jambo baya Mbona mungu wenu hajazuia?
Mjinga ni yule anayeogopa kusema ukweli kuhofia kuitwa mjinga
Ukweli ni kwamba mungu muweza wa yote na mjuzi wa yote mwenye uwezo wote aliyeumba huu ulimwengu ambao una mabaya ya kila aina hayupo, angekuwepo kusingekua na mabaya wala kutilia shaka juu ya uwepo wakeNa ukweli ni upi?
Waziri wako wa afya anakataza zinaa humsikii.
Wazazi wako wanakukataza zinaa husikii
Utamsikiliza Mungu usiemuona?
Ukweli ni kwamba mungu muweza wa yote na mjuzi wa yote mwenye uwezo wote aliyeumba huu ulimwengu ambao una mabaya ya kila aina hayupo, angekuwepo kusingekua na mabaya wala kutilia shaka juu ya uwepo wake
Hujaona ushahidi hapo wa contradiction hapo?Any proof? I mean, una ushahidi wa hayo uliyoyaandika hapa?
Hujaona ushahidi hapo wa contradiction hapo?
DHana inayojipinga haiwezi kusimama kama ukweliAm a slow learner and not smart as you. Hebu nifafanulie.
We mtoto unaelewa maana ya neno MUNGU?
Au Unaropoka tu.
Yaani wewe ghafla umeshakuwa mungu!
Teh teh teh teh.
Mnakatazwa kupiga Viroba lkn ubishi tu.
Matokeo yake ndio haya.
nimecheka kinoma.... Kumbe mimi ni mungu☀️
DHana inayojipinga haiwezi kusimama kama ukweli
Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aliyeumba huu ulimwengu wenye mabaya hayupo kwasababu ulimwengu unam contradict kwa uwepo wa mabaya hivyo unaonesha ulimwengu huu haujaumbwa na mungu huyuSi uniambie contradictions unazoziona?
Mungu muweza wa yote, mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aliyeumba huu ulimwengu wenye mabaya hayupo kwasababu ulimwengu unam contradict kwa uwepo wa mabaya hivyo unaonesha ulimwengu huu haujaumbwa na mungu huyu
Mungu huyu ni wakufikirika tu hayupo kihalisia
Magonjwa, vifo njaa, matetemeko, tsunami nk. Yote hayo ni mabayaMazuri ni yapi na mabaya ni yapi? Na ni standard gani unayoitumia kuamua hiki ni kitu kibaya na hiki ni kizuri?
Anaeamua kipi kibaya na kipi kizuri ni nani?Magonjwa, vifo njaa, matetemeko, tsunami nk. Yote hayo ni mabaya
Na mazuri ni yale yaliyo kinyume na hapo
We mtoto unaelewa maana ya neno MUNGU?
Au Unaropoka tu.
Yaani wewe ghafla umeshakuwa mungu!
Teh teh teh teh.
Mnakatazwa kupiga Viroba lkn ubishi tu.
Matokeo yake ndio haya.
Kama ilivyovigumu kwa computer yako kukufikiri na kujua mawazo yako,ndivyo ilivyokwako kumfikiri Mungu na kujua Mawazo yake. Kama ulizaliwa mwaka mfano : 1990 June,huwezikujua yaliyokuwepo kabla yake hata ukifikirije Bali aliyekuwepo kabla ndiye awezaye kukuhabalisha.
Nitaendelea kuamini Mungu yupo hata Kama hayupo maana sipungukiwi na chochote.
Sio kwamba Mungu hayupo, hata wewe pia ni Mungu. Shida inakuja vile tunavyomchukulia huyu Mungu sijui kumwabudu, kumsifu kumtolea sadaka n.k hapa ndipo tulipologwa na wazungu. Hakuna Mungu wa aina hiyo Mungu ni Mimi na wewe yaani sisi ni Mungu.