God of war ps 2 game-msaada

Kauzu Kinyama

Member
Aug 13, 2011
41
5
Wana jamvi nimecheza hii game hadi nimefika sehemu ambayo nahitaji kuvuta crank, instruction inanitaka kuhold R1 na L3 ili kuivuta hiyo crank, sasa ishu ni kufungua huo mlango ambapo unafunguka pakiwa na kitu kizito juu yake. Hapo nimeshindwa kuendelea as ile ile crank haifiki hapo pa kuzuia mlango kujifunga.
Kwa mwenye ujuzi hapo naomba msaada.
 
Kauzu Kinyama
Kama nakumbuka vizuri hiyo sehemu, basi unatakiwa upige teke hicho kitu kizito kikakae upande wa pili.
Shkilia x nadhan. If not, let us know, maana nimeicheza 4 years ago
 
Last edited by a moderator:
Wana jamvi nimecheza hii game hadi nimefika sehemu ambayo nahitaji kuvuta crank, instruction inanitaka kuhold R1 na L3 ili kuivuta hiyo crank, sasa ishu ni kufungua huo mlango ambapo unafunguka pakiwa na kitu kizito juu yake. Hapo nimeshindwa kuendelea as ile ile crank haifiki hapo pa kuzuia mlango kujifunga.
Kwa mwenye ujuzi hapo naomba msaada.

kuna steji kadhaa za dizaina hiyo,kuna sehemu kuna vyumba vina mtaro wa maji kuna maiti unaibeba unaitupa kwenye mtaro inazungushwa na maji kwenye side unayuweza kuitoa,kuna sehem nyingine unahitaj kuslow down time,ila kama haujapata bado tool ya kuslow down time basi kuna mait somewhere ya kubeba unaweka ontop. Ukiweza kunitajia jina la stage(u know temple of...) au fafanua zaidi,jambaz ulilopigana nalo i can help u cause nilishalicheza mpaka mwisho(if u wanna know Zeus hafi,so ina cont...)
 
sio hapo 2,many tricky challngs awaits u,nichck hata kwa pm i،ll b mr than happy 2 help. Niko na prince of persia4 now
 
Kuhusu umri ni miaka 52 na miezi 7.
Thanks goes to Endangered
Kauzu Kinyama, hivi ndo umepita hiyo shemu baada ya kupiga teke au?
Maana kwa sasa sina console, na ni miaka imepita. If so, 'damn I'm goo!'


Hiyo game nimecheza na kumaliza mpaka very hard, zaidi ya hapo nilikoma ubishi.

By the way, Good Guy, Kauzu Kinyama, hivi mmeshaicheza Splinter Cell Conviction?
Ichekini kama bado, nimeicheza kwenye PC, ni noma sana. Balaa yani.
 
Last edited by a moderator:
Kauzu Kinyama, hivi ndo umepita hiyo shemu baada ya kupiga teke au?
Maana kwa sasa sina console, na ni miaka imepita. If so, 'damn I'm goo!'


Hiyo game nimecheza na kumaliza mpaka very hard, zaidi ya hapo nilikoma ubishi.

By the way, Good Guy, Kauzu Kinyama, hivi mmeshaicheza Splinter Cell Conviction?
Ichekini kama bado, nimeicheza kwenye PC, ni noma sana. Balaa yani.

nah bado niko na Chaos Theory
 
Last edited by a moderator:
Dah umenikumusha mbali, I play god of war 1 and 2 2007 kipind nimemaliza 6 nasubir kwenda chuon, yaani ni bonge la game, and then mwaka jana nimecheza god of war 3 mpaka mwisho na to be honest hii ndo game iliyonifanya nijibane kamshahara kangu ninunue ps3, yaani dogo there is a lot of challenges awaits you,

On my views god of war one ndo ngumu kuliko zote na ina storyline nzuri, god of war 2 has gud storyline but njia zake zinasumbua sana and in games videos kibao, god of war 3 ni amazing in terms of graphic yaani you feel real HD experience and the power of playstation 3 in terms of epic scales although ni rahisi sana as haina njia ngumu, ushauri kuwa makini sana na camera inavyo rotate ukifika new stage hapo inakuonesha njia indirect,

umenikumbusha hares, hades, zeus, medusa, euryale and mama yao ambaye unakutana nae kwenye god of war 3, mateso anayoyapata gaia na cronos katika god of war 3 unaweza kutoa machozi, maana kwenye great war wanateseka sana, sikutoka nje likizo ya form 6 kama 4 months kwa ajili ya hizo best games for playstation na likizo yangu ya kwanza kazini I was spending with the last God of war 3 and I real have fun, nazani ikitoka God of war ascension ndo itakuwa game yangu ya mwisho kuicheza as umri umeenda na muda wa kucheza hardcore games zinazohitaji seriousness unazidi kupunguzwa na life strugles

Sasa hivi nacheza metal gear solid 4 but its real tough
 
Dah MKATA KIU ,dats nice stuff!! I thought i was gonna kill Zeus in GoW II jamaa akakimbia! Ps2 haina GoW III so itabdi nitafute ps3 aise hii ki2 ni nxt level.
 
Last edited by a moderator:
Dah MKATA KIU ,dats nice stuff!! I thought i was gonna kill Zeus in GoW II jamaa akakimbia! Ps2 haina GoW III so itabdi nitafute ps3 aise hii ki2 ni nxt level.

Yap haipo kwenye ps2 that's why inatulazimu fans tununue ps3 but its real have value for money, maana god of war 3 ni full excitement as kuna viumbe plus graphics za city of olimpus yaani unabaki mdomo wazi, its like your watching 3d movie cinema or watching a real things, ukipata ps3 tu nitafute as I know how to jail break it, dogo zeus kwenye god of war 3 cha mtoto, kuna mtu anaitwa hermes the messenger of gods kumkamata ni balaa, kuna mtu hades the gods of the underword, poisedon the god of the see, helious thw god of the sun, kuna hera, pandoras mwenyewe, yaani acha tu I am 25 now but wakati nacheza I was like a kid as full of smiles hadi home wanashangaa... If games is your hobie playstatin 3 inahusika and you must have it, its real amazing product
 
Last edited by a moderator:
Dah umenikumusha mbali, I play god of war 1 and 2 2007 kipind nimemaliza 6 nasubir kwenda chuon, yaani ni bonge la game, and then mwaka jana nimecheza god of war 3 mpaka mwisho na to be honest hii ndo game iliyonifanya nijibane kamshahara kangu ninunue ps3, yaani dogo there is a lot of challenges awaits you,

On my views god of war one ndo ngumu kuliko zote na ina storyline nzuri, god of war 2 has gud storyline but njia zake zinasumbua sana and in games videos kibao, god of war 3 ni amazing in terms of graphic yaani you feel real HD experience and the power of playstation 3 in terms of epic scales although ni rahisi sana as haina njia ngumu, ushauri kuwa makini sana na camera inavyo rotate ukifika new stage hapo inakuonesha njia indirect,

umenikumbusha hares, hades, zeus, medusa, euryale and mama yao ambaye unakutana nae kwenye god of war 3, mateso anayoyapata gaia na cronos katika god of war 3 unaweza kutoa machozi, maana kwenye great war wanateseka sana, sikutoka nje likizo ya form 6 kama 4 months kwa ajili ya hizo best games for playstation na likizo yangu ya kwanza kazini I was spending with the last God of war 3 and I real have fun, nazani ikitoka God of war ascension ndo itakuwa game yangu ya mwisho kuicheza as umri umeenda na muda wa kucheza hardcore games zinazohitaji seriousness unazidi kupunguzwa na life strugles

Sasa hivi nacheza metal gear solid 4 but its real tough

dooh. . .Bas cjui ufisadi wa baba angu umenifanya niwe outa consule kitambo au? . .2005 ended my fananatic on games<stil directng mdogo wangu akicheza e.G g.O.W . .Lol
 
Waiting for GoW Ascension next year!! GoW 3 is the best IMO! Hades is one scary god! The Cronos boss battle was Epic!
 
"Kratos is a bad ass"
Wadau mnanipa njaa ya game aisee.
God od war 1 sijaicheza.
Lakini nilikuwa OST zake, yaana ilikuwa inaniamsha sana.
Mfano;
Kratos: Is this the best you can do father, you send a broken Mortal to defeat me? The god of war!
Zeus: Kratos - returned even from the underworld.
Somethin' like that.
The End Begins nikaimaliza, but now sina console, na hyo ps3 sijaigusa bado.

MKATA KIU, roho inauma sina hyo ps3. But I have vowed nitacheza game hata nikioa na watoto wangu waniseme vp. Labda nifike miaka 52 na miezi 7 kama Kauzu Kinyama. Bahati mbaya sana pc yangu imekufa right now, kisa TANESCO. Sasa niko kama ka-yatima flan hv.

Good Guy, Chaos Theory, hiyo ni ya PC ama?
By the way, PS4 si mna habari next year itakuwa unveiled. Codename: Playstation Orbis.

And to all, apart from The God of War, game gani nyingine ni favorite kwenu?
Kuna fan wa Command and Conquer kama mimi humu?
 
Last edited by a moderator:
ebana eeh! Ki2 cha call of duty ni noma kwny ps 3 utfkr kwel yan ts u exprnc da real war lyf in ds metal gear sold yenyw haíing ndan cz ts vr bst war gam in ps 3
 
"Kratos is a bad ass"


Good Guy, Chaos Theory, hiyo ni ya PC ama?
By the way, PS4 si mna habari next year itakuwa unveiled. Codename: Playstation Orbis.

And to all, apart from The God of War, game gani nyingine ni favorite kwenu?
Kuna fan wa Command and Conquer kama mimi humu?

You can say that again,duh jamaa kwenye GoW II akifungua mdomo 2 kuongea ujue kuna m2 anaelekea kupasuliwa vipande vipande mda c mrefu! GoW I c kali sana,buttons zimepangwa vibaya,EFX's haziko poa afu na vibrations hazisisimui,but GoW II jamaa waliua kila ki2,EFX,vibrations dah yaani cpati picha ya GoW III bt nadhan itakua somethng like dshttp://2.bp.blogspot.com/_q17Ts6_zlU4/TD0UcE8uYzI/AAAAAAAAAFc/TxcG46J2Id8/s1600/god-of-war-3.jpgchaos theory nnazo both ya kwenye PC nd Console 2ngetafutana bt niko mkoani kidogo now
 
Last edited by a moderator:
Good Guy hapo ni anam decapitate Helios,the god of sun!! It was priceless yani!!! The way he smacked his head on the ground,then he just rip it out of him...and then use it as a Torch and a weapon hahah!!
 
Good Guy hapo ni anam decapitate Helios,the god of sun!! It was priceless yani!!! The way he smacked his head on the ground,then he just rip it out of him...and then use it as a Torch and a weapon hahah!!

haha that's what he would do i guess to a guy who stands in the way!! Dah i've gt 2 hav ths thing by th end of nxt month aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom