Cathode Rays
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,738
- 1,492
Wapendwa wana familia wa JF,
Napenda kuchukua nafasi hii kwanza kumshukuru Mwenye enzi yote kwa maisha yangu yote nilipokuwa kwenye kambi ya mabachela kwa miongo mitatu iliyopita
Hatimaye sasa imetosha na zimebaki siku 5 tu kuagana rasmi na kambi hii ya mabechela pale ambapo tarehe 24/11 nitakapomwaga wino rasmi kujiunga na kambi ile nyingine
Dua zenu na sala zenu kwa safari hii mpya itakayoanza Jumamosi ijayo
Mambo yote ni kwenye Jiji la Tanga.
Nina complementary kwa wandugu wa familia hii ya JF wawili (2) ambao watakuwa tayari kuhudhuria na wanaweza kufanya hivyo kama wawakilishi wa familia hii. Kwa bahati nzuri sote ni members wa JF (tafadhali, love connect haihusiki na tumefahamu lately kuwa ni members) na tumeona ni vema tukitoa nafasi hizi mbili kwa wanafamilia wenzetu
Atakayekuwa kwenye nafasi please ni-PM and will further communicate
Glory to God and Many blessings to you all
ADDITION:
Nilisahau kuandika hapa lakini nimekumbushwa kufanya hivyo, the same date itakuwa ni birthday yangu nikifikisha miongo mi-3 kamili .....Kei zitaliwa 2, birthday na ile ya Harusi...Karibuni sana
Napenda kuchukua nafasi hii kwanza kumshukuru Mwenye enzi yote kwa maisha yangu yote nilipokuwa kwenye kambi ya mabachela kwa miongo mitatu iliyopita
Hatimaye sasa imetosha na zimebaki siku 5 tu kuagana rasmi na kambi hii ya mabechela pale ambapo tarehe 24/11 nitakapomwaga wino rasmi kujiunga na kambi ile nyingine
Dua zenu na sala zenu kwa safari hii mpya itakayoanza Jumamosi ijayo
Mambo yote ni kwenye Jiji la Tanga.
Nina complementary kwa wandugu wa familia hii ya JF wawili (2) ambao watakuwa tayari kuhudhuria na wanaweza kufanya hivyo kama wawakilishi wa familia hii. Kwa bahati nzuri sote ni members wa JF (tafadhali, love connect haihusiki na tumefahamu lately kuwa ni members) na tumeona ni vema tukitoa nafasi hizi mbili kwa wanafamilia wenzetu
Atakayekuwa kwenye nafasi please ni-PM and will further communicate
Glory to God and Many blessings to you all
ADDITION:
Nilisahau kuandika hapa lakini nimekumbushwa kufanya hivyo, the same date itakuwa ni birthday yangu nikifikisha miongo mi-3 kamili .....Kei zitaliwa 2, birthday na ile ya Harusi...Karibuni sana