GOAT of Tanzanian politics and economic reforms, Hon. President Samia

BrownRange

JF-Expert Member
Dec 25, 2020
927
1,190
Nashukuru sana Mungu watanzania kupata Rais bora Kama wewe. Kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Tunakuombea afya na kila jema katika uongozi wako usio na shaka wala Sonoma.

Daima Mungu akubariki uongozwe na busara katika kuwaletea maendeleo wananchi wako
 
Back
Top Bottom