BrownRange
JF-Expert Member
- Dec 25, 2020
- 927
- 1,190
Nashukuru sana Mungu watanzania kupata Rais bora Kama wewe. Kweli wakati wa Mungu ni wakati sahihi. Tunakuombea afya na kila jema katika uongozi wako usio na shaka wala Sonoma.
Daima Mungu akubariki uongozwe na busara katika kuwaletea maendeleo wananchi wako
Daima Mungu akubariki uongozwe na busara katika kuwaletea maendeleo wananchi wako