Luushu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 812
- 468
Tangu jana kuna semina inayoendelea kuhusu biashara inayo weza kukupatia kipato katika muda wako wa ziada,na kuboresha afya yako.Jinsi ya kufanya semina inaisha kesho nitumie namba yako ya simu kwa PM takupigia takuelekeza jinsi ya kufanya kuweza kuingia kwenye semina ukumbi wa BLUU PEAL HOTEL ubungo plaza naomba kuwasilisha